Chuki, na wivu kwa watu wa kaskazini ndio chanzo cha kusemwa hawafai

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,834
18,837
Sio mpenzi sana wa kuanzisha mada za kikabila, ila ukiona kabila au jamii yako yoyote, iwe ukoo, kabila, nchi, au race inashmbuliwa unfairly lazima uweke mambo sawa

Kuna mada imeanzishwa hapa kushambulia "wanawake wa kaskazini" kuwa ni wanawake wasiofaa kutokana na sababu alizozitoa mtoa mada, na Moderator wakaona ni sawa

"Watu wa kaskazini" ni term inayotumika kumaanisha kabila la Wachagga, Licha ya Kaskazini kuwa na mikoa kama Tanga, Arusha, Kilimanjaro, Manyara ambazo kwa ujumla ina makabila takribani 30, lakini kabila la Wachagga ndio linachukuliwa kama vile ndio Kaskazini nzima


Mwanamke kama mlezi wa kwanza wa mtoto na anaye manage nyumba, akiwa hafai ina maana familia na nyumba vyote vitasambaratikaa, familia zikisambaratika ina maana ukoo na kabila lote kwa ujumla vitaanguka

Licha ya mkoa wa Kilimanjaro kuwa ndio mkoa wa kwanza kwa udogo ukiacha Dar es Salaam, na Uchagani ni kama asilimia 30% ya mkoa huo, wakiwa na limited resources, lakini wamefanikiwa zaidi kwenye elimu, biashara, kazi kwenye sekta binafsi na umma, kuliko hayo makabila mengine ambayo wanawake wake wanafaa zaidi

Mtoto kufanikiwa katika elimu, au biashara au utumishi wa umma ni lazima awe amelelewa na mzazi, hasa mama, ambaye amemkuza katika nidhamu ya kuzingatia elimu, nidhamu ya biashara na kazi kwa ujumla

Ukienda upande wowote Tanzania iwe ni kusini kabisa kule Mtwara, Magharibi Kagera, Kigoma, Mbeya, Tanga, Dodoma, Singida utakutana na Wachaga wengi either kwenye kazi kama benki, udaktari, mashirika ya kitaifa na kimataifa au kwenye biashara kubwa na za kati

Ni nadra kukuta mchagga mikoa mingine kaenda kuharibu mazingira na ng'ombe au kufanya kazi za ndani

Lengo sio kujivuna ila ni ku highlight point kuwa huwezi kuwa jamii yenye kutoa watoto wenye mafanikio kama wanawake ambao ndio walezi wa kwanza wa hao watoto watakuwa ni wanaweza wasiofaa kulea familia

Ukipenda unaweza kuoa kabila lako tu sio lazima uoe kwetu, sababu hatulilii wanawake wetu kuolewa na watu wengine,
 
Nakubaliana na wewe . kama hawafai mbona matokeo ya jamii zao ni makubwa katika sector nyingi??, je hiyo jamii ina lelewa na wanawake gani??, MIMI NI MTU WA MBEYA NILIYASIKIA MENGI ILA NILIPO KUJA KUFUATILIA NIKAKUTA NI CHUKI ZA JAMII FLANI DHIDI YA HAO WATU WA KASKAZIN..NAONA NDUGU ZANGU WAME OA UKO NA WANACHANGAMKA MAISHA MAZURI WANAFURAHA TU.. SASA SIJUI HUWA SABABU NI NN KUPATA MANENO MENGI KUHUSU UCHAGANI
 


Unachukulia Serious mambo ya mtandaoni Mkuu.
Tatizo ata mm nilikuwa naichukulia poa ila naona inakuwa serious sikuizi vizazi vinavyo kuja vinalishwa sana story mbaya kuhusu kaskazini. ikiendelea kuchukuliwa ni utani.. Watu w Kasikazini mtakuja kushtuka isha kuwa too damage for generations
 
Sio mpenzi sana wa kuanzisha mada za kikabila, ila ukiona kabila au jamii yako yoyote, iwe ukoo, kabila, nchi, au race inashmbuliwa unfairly lazima uweke mambo sawa

Kuna mada imeanzishwa hapa kushambulia "wanawake wa kaskazini" kuwa ni wanawake wasiofaa kutokana na sababu alizozitoa mtoa mada, na Moderator wakaona ni sawa

"Watu wa kaskazini" ni term inayotumika kumaanisha kabila la Wachagga, Licha ya Kaskazini kuwa na mikoa kama Tanga, Arusha, Kilimanjaro, Manyara ambazo kwa ujumla ina makabila takribani 30, lakini kabila la Wachagga ndio linachukuliwa kama vile ndio Kaskazini nzima


Mwanamke kama mlezi wa kwanza wa mtoto na anaye manage nyumba, akiwa hafai ina maana familia na nyumba vyote vitasambaratikaa, familia zikisambaratika ina maana ukoo na kabila lote kwa ujumla vitaanguka

Licha ya mkoa wa Kilimanjaro kuwa ndio mkoa wa kwanza kwa udogo ukiacha Dar es Salaam, na Uchagani ni kama asilimia 30% ya mkoa huo, wakiwa na limited resources, lakini wamefanikiwa zaidi kwenye elimu, biashara, kazi kwenye sekta binafsi na umma, kuliko hayo makabila mengine ambayo wanawake wake wanafaa zaidi

Mtoto kufanikiwa katika elimu, au biashara au utumishi wa umma ni lazima awe amelelewa na mzazi, hasa mama, ambaye amemkuza katika nidhamu ya kuzingatia elimu, nidhamu ya biashara na kazi kwa ujumla

Ukienda upande wowote Tanzania iwe ni kusini kabisa kule Mtwara, Magharibi Kagera, Kigoma, Mbeya, Tanga, Dodoma, Singida utakutana na Wachaga wengi either kwenye kazi kama benki, udaktari, mashirika ya kitaifa na kimataifa au kwenye biashara kubwa na za kati

Ni nadra kukuta mchagga mikoa mingine kaenda kuharibu mazingira na ng'ombe au kufanya kazi za ndani

Lengo sio kujivuna ila ni ku highlight point kuwa huwezi kuwa jamii yenye kutoa watoto wenye mafanikio kama wanawake ambao ndio walezi wa kwanza wa hao watoto watakuwa ni wanaweza wasiofaa kulea familia

Ukipenda unaweza kuoa kabila lako tu sio lazima uoe kwetu, sababu hatulilii wanawake wetu kuolewa na watu wengine,
Acha tuwapelekeshe wanakua wavivu alafu wanalalama hawataki kusomesha,hawataki kujisimamia hawataki kujishuhulisha alafu wanatupondea yani mimi nimsomeshe mwanangu kisha umuoe ukaanze kuleta mambo yako ya kitumwa sasa nilimsomesha wa kazi gani si aweze kujisimamia mwenyewe yaaani nimsomeshe mimi ufaidike wewe mvivu nipo Tabora huku naenda nao mdogomdogo hadi nirudi Kilimanjaro na ndinga langu

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Kaskazin wanawezana wao KWA wao wakioana, lakini kabila jingine utaporwa mali na watoto ukiwa mzee.
Akishazaa watoto na wewe then ana mali uwalisha sumu watoto then unatengwa, wao wanathamini mali na watoto na sio mume thamani YAKO inaishia ujanani. Pana mzee jirani above 70 kanusulika kula sumu akaokolewa na houseboy leo anajipikia mwenyewe. Wana mali hatari Wana kijiji cha wapangaji.
Wote ni wastaafu.
Yaani KWA uzee wote huu unataka umtangulize mwenzio mliokula wote ujana kwa miaka 50 ya ndoa. Kisa mali zipitazo
 
Tatizo ata mm nilikuwa naichukulia poa ila naona inakuwa serious sikuizi vizazi vinavyo kuja vinalishwa sana story mbaya kuhusu kaskazini. ikiendelea kuchukuliwa ni utani.. Watu w Kasikazini mtakuja kushtuka isha kuwa too damage for generations

Inategemea anayesema ni Nani.
Kama ni MTU mjinga au kajamba nani hakuna atakayemsikiliza.

Ikiwa matajiri, wasomi, wanasiasa na Watawala, Watu mashuhuri, wafanyabiashara wakubwa wanaoa na kuolewa na hao Watu wa Kaskazini sio tatizo Kwa hayo maneno ya walalahoi, au waganga njaa.

Ukiona Jambo linazungumzwa na tabaka la juu basi Hilo litilie maanani. Lakini tabaka la Chini Achana nalo.
Kwani Nani anataka kuoa au kuolewa na Maskini? Tuache unafiki
 
Tatizo ata mm nilikuwa naichukulia poa ila naona inakuwa serious sikuizi vizazi vinavyo kuja vinalishwa sana story mbaya kuhusu kaskazini. ikiendelea kuchukuliwa ni utani.. Watu w Kasikazini mtakuja kushtuka isha kuwa too damage for generations
Haya maneno yapo miaka mingi ila hayajazuia mabinti wa hiyo kanda kuolewa na makabila mengine....hivyo hakuna jipya hapa
 
Kaskazin wanawezana wao KWA wao wakioana, lakini kabila jingine utaporwa mali na watoto ukiwa mzee.
Akishazaa watoto na wewe then ana mali uwalisha sumu watoto then unatengwa, wao wanathamini mali na watoto na sio mume thamani YAKO inaishia ujanani. Pana mzee jirani above 70 kanusulika kula sumu akaokolewa na houseboy leo anajipikia mwenyewe. Wana mali hatari Wana kijiji cha wapangaji.
Wote ni wastaafu.
Yaani KWA uzee wote huu unataka umtangulize mwenzio mliokula wote ujana kwa miaka 50 ya ndoa. Kisa mali zipitazo
Una uhakika ni wachaga tu ndio wanahiyo tabia au na makabila mengine wanayo?

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom