Unamchunuku. Anakuchunuku. Ila ndio hivyo tena mlichelewa kukutana. Lililofungwa mbinguni limeshafungwa na duniani.
mbona unaangalia upande mmoja tu wa kufuli?
Hahaha! Labda kufuli ni la round,lol!
Sasa binamu, si bora iwe kizuizi cha mbinguni. Unamchunuku, anakuchunuku but there is a missing link and some things don't add up!
Oups! Basi kama vipi fanyeni maamuzi magumu. Kwani nini bana linapokuja swala la mapenzi milango mingine yote hufungwa.
Heeeeh! Hivi bado una-recruit wanachama wa ile chama kubwa?Oups! Basi kama vipi fanyeni maamuzi magumu. Kwani nini bana linapokuja swala la mapenzi milango mingine yote hufungwa.
Mwambie mtakatifu Petro, mapenzi yameumbwa na Bosi wake.inasemekana funguo la kufuli analo mtakatifu petro
Shhhiiiiiiiii.... Unaniharibia swaumu yangu.Heeeeh! Hivi bado una-recruit wanachama wa ile chama kubwa?
Mswalie mtume babu!
Sasa umeshindwa hata kumchakachua? Na wewe bana!inasemekana funguo la kufuli analo mtakatifu petro
Sasa umeshindwa hata kumchakachua? Na wewe bana!
Khaaa!! Leo umepiga cha Arusha au Musoma?Sasa umeshindwa hata kumchakachua? Na wewe bana!
King'asti achakachue nini wakati kimelea tayari????
Khaaa!! Leo umepiga cha Arusha au Musoma?
Mwambie mtakatifu Petro, mapenzi yameumbwa na Bosi wake.
Shhhiiiiiiiii.... Unaniharibia swaumu yangu.
Mwezi huu hakuna kukagua ndo maana nimejilimbikizia wake watatu BADILI TABIA, cacico na Yummy. Hawa wote wako chini ya usimamizi wa Kongosho. Nisiporizika nawasihi wake zangu waniruhusu kuweka ndani bi Catherine.Hivi kukagua wajukuu wakati umefunga sio dhambi? Usije ukazimia babu ukavunja swaumu
Mwezi huu hakuna kukagua ndo maana nimejilimbikizia wake watatu BADILI TABIA, cacico na Yummy. Hawa wote wako chini ya usimamizi wa Kongosho. Nisiporizika nawasihi wake zangu waniruhusu kuweka ndani bi Catherine.
Unamchunuku. Anakuchunuku. Ila ndio hivyo tena mlichelewa kukutana. Lililofungwa mbinguni limeshafungwa na duniani.