Chozi la Mkosaji

Companero

Platinum Member
Jul 12, 2008
5,604
1,704
Unamchunuku. Anakuchunuku. Ila ndio hivyo tena mlichelewa kukutana. Lililofungwa mbinguni limeshafungwa na duniani.
 
Hahaha! Labda kufuli ni la round,lol!
Sasa binamu, si bora iwe kizuizi cha mbinguni. Unamchunuku, anakuchunuku but there is a missing link and some things don't add up!
 
Hahaha! Labda kufuli ni la round,lol!
Sasa binamu, si bora iwe kizuizi cha mbinguni. Unamchunuku, anakuchunuku but there is a missing link and some things don't add up!

Oups! Basi kama vipi fanyeni maamuzi magumu. Kwani nini bana linapokuja swala la mapenzi milango mingine yote hufungwa.

inasemekana funguo la kufuli analo mtakatifu petro
 
blue-tear-wallpapers_13598_1600x1200.jpg

chozi la mkosaji!
 
Ujue sio rizk yako ilobakia ushukuru mungu na muombe mungu kwa sana iliakupe mwengine zaidi ya yeye....
 
Duh, pole Comp, haya mambo bana hayana formula.
Afu wazuri wote wamechukuliwa lol
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom