Choose wisely.....!


Usitake tuende deep. Hivi si kila kiungo kuliumbwa kwa kazi yake? We unaona wanafanya matumizi sahihi ya viungo vyao?
Hata madaktari wasiomjua Mungu wanajua it is wrong to do that! Na the only reason wanasupport ni kwa sababu mental health exceeds physical well being. Wanaona hao watu wanaloose more mentaly by missing what they want that what they loose physically and morally when they they get what they want. Na hii inasababishwa na parents not being there to raise them up well morally and spiritually.
Usimkufuru Mungu kumsingizia kwamba it is His fault kwamba wako hivyo-wakati wako hivyo kwa sababu wameshindwa kucontrol their evil desires

kwanza kabisa wewe kinakuhusu nini vitu watu wanavyofanya chumbani kwao??
wamekufanya nini tu mpaka uwachukie kiasi hicho?? nadhani unajua ya kwamba kuna
madoctor ambao nao ni homosexual so sijui madoctor gani unawaongelea... na pia kuna studies
zinaonyesha watu wengine walizawa tayari wakiwa homosexual...
ukifuaatilia kwa undani zaidi kuhusu homosexual utagundua ya kwamba ni kitu kinachotokanna na genes
na si sehemu watu wanayoishi ... "even tho enviroment factor plays a big part." so is not right for you to play God either ..
 
AD hujambo mama? Ni kweli Mungu alituumba na kutupa uchaguzi wa kufanya tutakalo. Wakati huo huo alitupatia Guidelines za kufuata, hivyo kuzikiuka ni kwenda kinyume cha maagizo yake, hence jamii itakuona "wa ajabu"

sijambo Tanmo
mzima wewe ? umepotea sana..
na je kama mtu umezaliwa gay.. unakeuka vipi hayo maagizo..
 
sijambo Tanmo
mzima wewe ? umepotea sana..
na je kama mtu umezaliwa gay.. unakeuka vipi hayo maagizo..

mzima aisee, tupo bana.. Hii ya mtu kuzaliwa homosexual ndo naisikia kwako, ila ukichunguza utaona hoja ya mtoa mada ina apply hapo pia. Kwamba tuki choose wisely basi hayo masuala ya homosexuality tunaweza yaepuka.. Swali la kujiuliza, ni kwanini idadi ya homosexual imekuwa kubwa siku hizi kuliko ilivyokuwa zamani?
 
mzima aisee, tupo bana.. Hii ya mtu kuzaliwa homosexual ndo naisikia kwako, ila ukichunguza utaona hoja ya mtoa mada ina apply hapo pia. Kwamba tuki choose wisely basi hayo masuala ya homosexuality tunaweza yaepuka.. Swali la kujiuliza, ni kwanini idadi ya homosexual imekuwa kubwa siku hizi kuliko ilivyokuwa zamani?


oohhhh okay .. ipo na ipo sana ukitaka kujua zaidi ntakupa link..
ni sawa sikatiliani na mtoa mada kuchagua na kuchagua vema ..ila pamoja na hayo ni muhimu kukumbuka
hakuna mtu anae kwambia kila kitu kuhusu yeye na tabia zake zote.. kila mtu ana siri moja au mbili na zaidi
ambazo hatutaweza kujua.. na baadaye vitu hivyo vinazidi kuwa mzigo kwa huyo mtu sababu alibadilika tu
ili akupate.. Kwa hiyo saa nyingine hiyo chagua na chagua wisely haiisaidii.. kumpata mtu ambae mnafaana
mi naita "BAHATI'...

kujibu swali lako la pili idadi ya homosexual.. sisi tunaona imeongezeka sana ..
ila ukweli ni kwamba walikuwepo kwa number hizo kwa muda wa miaka nenda miaka rudi..
ila sasa wanatambuliwa na nchi kadhalika .. ndio maana wanajitokeza kwa wingi bila aibu..

kwa upande mwingine ni jambo la kushukuru sababu kipindi hicho..
walikuwa wana date, wanaoa wanawake huku wanajua kabisa wao hawajisikii
kuwa na wanawake so in other hand ni vema wache wajitokeze..

na kingine technology hii inawasaidi kuwakutanisha wengi.
na wenyewe kutengeneza himaya yao kijilinda na kupeana moyo..
wenyewe kwa wenyewe..

lets face it bado hawakubaliki kwenye jamii nyingi so watafanya wafanyalo
kujitetea..

Cha mwisho hata tuwa katae hawaendi mahali watakuwa hapa mika nenda miaka
rudi.. walikuwepo tangu na tangia ..

Hopeful nimekujibu maswalio yako yate..
asante.
 
kwanza kabisa wewe kinakuhusu nini vitu watu wanavyofanya chumbani kwao??
wamekufanya nini tu mpaka uwachukie kiasi hicho?? nadhani unajua ya kwamba kuna
madoctor ambao nao ni homosexual so sijui madoctor gani unawaongelea... na pia kuna studies
zinaonyesha watu wengine walizawa tayari wakiwa homosexual...
ukifuaatilia kwa undani zaidi kuhusu homosexual utagundua ya kwamba ni kitu kinachotokanna na genes
na si sehemu watu wanayoishi ... "even tho enviroment factor plays a big part." so is not right for you to play God either ..

RED: Presenting what I believe is right is not playing God dear Afrodenzi. You have your own belief so lets argue with facts....
God did not create a genetically twisted creature.
Kuna wengi wenye matatizo mengine ya 'genetics' ila they fight aganist them. Siyo hao wanao 'corrupt' jamii.
Halafu katika hao unaowatetea Sababu za kinasaba(genetical) ni chache kuliko sababu za kimazingira.
Na ninachojaribu kusema hapa ni; tujaribu kudhibiti sababu za kimazingira zinazochangia uwepo wa hao watu.
Na nakuambia a biological and spiritual fact kwamba athari za kimazingira hujiingiza(manifest) kwenye vinasaba na kurithiwa kwenye vizazi....
Biologicaly-kasome gene mutation..
Spiritually- Exodus 20: 5b '...for I, the LORD your God, am a jealous God, punishing the children for the sin of the parents to the third and fourth generation of those who hate me'
why does He punish the children? because they carry the sin in their genes...
Unaifair God you say? no because you are born with ability to decide in the light of right and wrong. Then He punishes only those who continue to hate Him(those who dwell in the sin and not fighting aganist it).
 
RED: Presenting what I believe is right is not playing God dear Afrodenzi. You have your own belief so lets argue with facts....
God did not create a genetically twisted creature.
Kuna wengi wenye matatizo mengine ya 'genetics' ila they fight aganist them. Siyo hao wanao 'corrupt' jamii.
Halafu katika hao unaowatetea Sababu za kinasaba(genetical) ni chache kuliko sababu za kimazingira.
Na ninachojaribu kusema hapa ni; tujaribu kudhibiti sababu za kimazingira zinazochangia uwepo wa hao watu.
Na nakuambia a biological and spiritual fact kwamba athari za kimazingira hujiingiza(manifest) kwenye vinasaba na kurithiwa kwenye vizazi....
Biologicaly-kasome gene mutation..
Spiritually- Exodus 20: 5b '...for I, the LORD your God, am a jealous God, punishing the children for the sin of the parents to the third and fourth generation of those who hate me'
why does He punish the children? because they carry the sin in their genes...

so do you have evidence that homosexual are genetically twisted creature.?? or that is just your opinion?
because if you have that evidence i would love to read .. TA. is a lot of people a born with a lot of genetic diseases
example, Hodgkinsons, Parkinsons etc... so should we call them twisted creatures too.. ??

on the red you said represent what you belive is right?? really??
in my opinion your very Judgemental person..

swali moja tu .. wamekufanya nini tu haswa mpaka unawachukia hivyo??
please answer this... Thanks.
 
so do you have evidence that homosexual are genetically twisted creature.?? or that is just your opinion?
because if you have that evidence i would love to read .. TA. is a lot of people a born with a lot of genetic diseases
example, Hodgkinsons, Parkinsons etc... so should we call them twisted creatures too.. ??

on the red you said represent what you belive is right?? really??
in my opinion your very Judgemental person..

swali moja tu .. wamekufanya nini tu haswa mpaka unawachukia hivyo??
please answer this... Thanks.

BLUE: Lets not get personal here. My love of learning the truth and dwell in it does not label me judgemental neither is it called hate...nimewahi kuwaona kwa mbali sana hao Homosexuals na binafsi huwa sijajadili my feelings toward them bali toward what they do...So simhukumu mtu kwa sababu I know well watu hubadilika. All I am saying is what the do is not right and we should do the right thing in this world so that we eradicate those conditions which are morally wrong!
RED: kukimbia uhalisia wa tatizo na kutumia tafsida does not change what something is...Albino wako wengi(God forgive me if I am understood wrong)...Lakini ukweli ni kwamba albinism is not how a genetically complete human being should be and it started by a gene mutation.
Hebu tuache kusingizia genes tafadhali..
 
oohhhh okay .. ipo na ipo sana ukitaka kujua zaidi ntakupa link..
ni sawa sikatiliani na mtoa mada kuchagua na kuchagua vema ..ila pamoja na hayo ni muhimu kukumbuka
hakuna mtu anae kwambia kila kitu kuhusu yeye na tabia zake zote.. kila mtu ana siri moja au mbili na zaidi
ambazo hatutaweza kujua.. na baadaye vitu hivyo vinazidi kuwa mzigo kwa huyo mtu sababu alibadilika tu
ili akupate.. Kwa hiyo saa nyingine hiyo chagua na chagua wisely haiisaidii.. kumpata mtu ambae mnafaana
mi naita "BAHATI'...

kujibu swali lako la pili idadi ya homosexual.. sisi tunaona imeongezeka sana ..
ila ukweli ni kwamba walikuwepo kwa number hizo kwa muda wa miaka nenda miaka rudi..
ila sasa wanatambuliwa na nchi kadhalika .. ndio maana wanajitokeza kwa wingi bila aibu..

kwa upande mwingine ni jambo la kushukuru sababu kipindi hicho..
walikuwa wana date, wanaoa wanawake huku wanajua kabisa wao hawajisikii
kuwa na wanawake so in other hand ni vema wache wajitokeze..

na kingine technology hii inawasaidi kuwakutanisha wengi.
na wenyewe kutengeneza himaya yao kijilinda na kupeana moyo..
wenyewe kwa wenyewe..

lets face it bado hawakubaliki kwenye jamii nyingi so watafanya wafanyalo
kujitetea..

Cha mwisho hata tuwa katae hawaendi mahali watakuwa hapa mika nenda miaka
rudi.. walikuwepo tangu na tangia ..

Hopeful nimekujibu maswalio yako yate..
asante.

Poa Bana, nimekupata sasa..
Happy Holidays Mamii..
 
BLUE: Lets not get personal here. My love of learning the truth and dwell in it does not label me judgemental neither is it called hate...nimewahi kuwaona kwa mbali sana hao Homosexuals na binafsi huwa sijajadili my feelings toward them bali toward what they do...So simhukumu mtu kwa sababu I know well watu hubadilika. All I am saying is what the do is not right and we should do the right thing in this world so that we eradicate those conditions which are morally wrong!
RED: kukimbia uhalisia wa tatizo na kutumia tafsida does not change what something is...Albino wako wengi(God forgive me if I am understood wrong)...Lakini ukweli ni kwamba albinism is not how a genetically complete human being should be and it started by a gene mutation.
Hebu tuache kusingizia genes tafadhali..
ohhh is not getting personal .. we just don't agree with each others opinion thats all..

hauhukumu mtu kwa sababu unajua watu hubadilika na wasio badilika unawahukumu au??
Na je kwa nini unawachukia watu kwa vitu wanavyofanya chumbani au nyumbani mwao..?

Na kama kweli una unamuamini Mungu kama unavyoita jina lake kwenyee
hii thead ukumbuke ya kwamba kila mtu aliubwa kwa mfano wake.. kwa hiyo
haijalishi huyo mtu ni yukoje.. Wote tuko chini ya jua.. so hapo pa zambarau
ni kitu kingine ambacho kinacho nifanya niseme unapenda ku judge watu.. samahani
kama nimekukwaza ..
 
ohhh is not getting personal .. we just don't agree with each others opinion thats all..

hauhukumu mtu kwa sababu unajua watu hubadilika na wasio badilika unawahukumu au??
Na je kwa nini unawachukia watu kwa vitu wanavyofanya chumbani au nyumbani mwao..?

Na kama kweli una unamuamini Mungu kama unavyoita jina lake kwenyee
hii thead ukumbuke ya kwamba kila mtu aliubwa kwa mfano wake.. kwa hiyo
haijalishi huyo mtu ni yukoje.. Wote tuko chini ya jua.. so hapo pa zambarau
ni kitu kingine ambacho kinacho nifanya niseme unapenda ku judge watu.. samahani
kama nimekukwaza ..

Okay dear, on the half chance that this argument will end, it still will take long. Naomba tu'compromise'.
a) Again I am not judgmental-wanasema, 'hate the game and don't hate the player' . Siko concerned kabisa na wahusika personally ila kwa wanachokifanya (I've never even mentioned them as 'Nouns' but i am taking about 'verbs/actions').
My concept is hating the players wont cease the game, but making sure we don't supply more players into the game will...
halafu ina maana wanaopinga ukimwi wanawanyanyapaa wenye ukimwi?
Halafu tena suppose huyo mtu ni ndugu yangu wa karibu will I hate them? Ntakuwa nadanganya kama nikisema hivyo.
b) From the beginning my aim is to help so we don't have those cases not to condem people
c) Again kuelezea fact is not judging
 
Back
Top Bottom