PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,998
Kwa kweli TANZANIA hii, elimu ya kuchagua wenza inatakiwa ili nchi ikombolewe! Yani matatizo mengi ya ndoa ukiyachunguza chanzo chake utakuta ni kwamba watu wamechokana tu! Hii inasababishwa na uchaguzi wakati wa kuanza mahusiano, watu wanakurupuka tu na hawaangalii vigezo muhimu!
Jamani madhara ya haya mambo ni hayo ndoa zinavunjika, watoto wanalelewa kwenye mazingira yasiyofaa mwishowe ndio kama kwa wenzetu wamarekani. Watoto wanakuwa na abnormal sexual behaviours (gays, lesbians na hata straight people), wanakuwa psychopaths/bloodbirths(ambao hupata satisfaction fulani akiona damu inamwagika) na wezi na majambazi. Kisha hata wasiohusika wanakuja kulipa! mfano David Cameron na mikwara yake kwa nchi yetu asisi!
Hebu watu wanaojua tafadhali muwafundishe hawa watanzania kuchagua vyema manake naona nchi inaanza kufunga safari kuelekea huko!
Jamani madhara ya haya mambo ni hayo ndoa zinavunjika, watoto wanalelewa kwenye mazingira yasiyofaa mwishowe ndio kama kwa wenzetu wamarekani. Watoto wanakuwa na abnormal sexual behaviours (gays, lesbians na hata straight people), wanakuwa psychopaths/bloodbirths(ambao hupata satisfaction fulani akiona damu inamwagika) na wezi na majambazi. Kisha hata wasiohusika wanakuja kulipa! mfano David Cameron na mikwara yake kwa nchi yetu asisi!
Hebu watu wanaojua tafadhali muwafundishe hawa watanzania kuchagua vyema manake naona nchi inaanza kufunga safari kuelekea huko!