Msanii anaefanya vizuri kwenye mziki wa Amapiano nchini Chino Kidd, amelalamika kukosa ushirikiano toka kwa wasanii wenzake kwenye Tamasha lake la Wanaman Experience.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram (Instastory), Chino amesema kuna baadhi ya wasanii wenzake wamemnyima ushirikiano kuelekea Event yake huku akisema kuwa yeye amekuwa ni mtu wa kujitolea sana kwenye mambo ya Wasanii wenzake lakini wao wanashindwa kumsapoti.
Written by Mjanja M1
Kupitia ukurasa wake wa Instagram (Instastory), Chino amesema kuna baadhi ya wasanii wenzake wamemnyima ushirikiano kuelekea Event yake huku akisema kuwa yeye amekuwa ni mtu wa kujitolea sana kwenye mambo ya Wasanii wenzake lakini wao wanashindwa kumsapoti.
Written by Mjanja M1