Void ab initio
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 5,713
- 5,643
Fisadi anatakiwa kuwa wapi?
Wanaomshabikia EL hawana point zaidi ya mihemko tu, ingawa n kweli ili taifa liende mbele linahitaji vyama vya upinzani kwa wingi bungen lakini si kwa kumuweka EL awe raisi, EL kwake n segerea tu
Nashangaa kwa nn anagombea wakat ana kashfa
Fisadi anatakiwa kuwa wapi?
Tunaanza na mkulu, kwa nini alimlea fisadi kiasi hicho jamani? Yaani ameshindwa kumnyonga hadi leo?!!!!!
Hivi tanzania wakisema wananyonga mafisadi si tutanyongwa wote? Kazi ipo kwa mnyongaji sasa yeye sijui atanyongwa na nani? Maana ye ndo atakuwa bonge la lifisadi.
Kweli hiki ni kituko cha mwaka mtu mwenye kashfa anagombania urais, Tanzania tunapaswa kubadilika kuondokana na ujinga huu kiukweli tumepotea, nina uhakika hata majirani zetu watakua wanatucheka kumshabikia mtu ambae ameshiriki katika matukio mengi ya wizi, uporaji wa mali z umma.
Hili gazeti la Raia Mwema ni la kishenzi na kijinga kabisa
Fikiria ishu ya escrow ingetokea china tungekuwa na misiba mingapi yaani ninbalaa
Nashangaa kwa nn anagombea wakat ana kashfa
Namshangaa sana Makufuli kugombea wakati aligawa nyumba za serikali kwa mahawara zake, amelisababishia taifa hasara kubwa kwa kukamata meli ya uvuvi bila ushahidi, kutowalipa makandarasi pesa zao kwa wakati na hivyo kukuwa kwa riba...Nashangaa kwa nn anagombea wakat ana kashfa
Nimekuja mbio mbio nikajuwa unaongea mambo ya gesi kwenda
bure china.