Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,846
...wala sishangai... yalishanikuta hayo. Kina mama mjichunge sana hao ma hause girls mnaowafunga ndani, wengine walitu/wanawa-abuse (vitoto vya kiume) na kutuachia psychological scars for life...
Hakuna cha hausigel wala hausboi siku hizi wote ni wabaya tu!
Ilishatokea mtoto wa kiume wa miaka 6 kukutwa na magonjwa ya zinaa.Uchunguzi ukabaini kuwa Hausigel ndiye alimuambukiza mtoto.Mbu unaonaje ukaanzisha thread ya manyayaso ya watoto wa kiume?...