Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
jamani hii hali inatisha..
watu wengi katika jamii zetu tumeingia katika hali kaa hii..........watoto wa kike wanabakwa au kuchezewa bila kuingiliwa na ma houseboy wapo wengi tu na wanaume wanalamishwa kuwachezea au kuwaingilia house girls au jamaa ndani ya familia ni wengi pia...
vipi tunatatua suala hili?
watu wengi katika jamii zetu tumeingia katika hali kaa hii..........watoto wa kike wanabakwa au kuchezewa bila kuingiliwa na ma houseboy wapo wengi tu na wanaume wanalamishwa kuwachezea au kuwaingilia house girls au jamaa ndani ya familia ni wengi pia...
vipi tunatatua suala hili?