Nina cheque ya milioni kadhaa imeandikwa jina la bishara ambayo nilinunua kutoka kwa jamaa yangu. Utafiti wangu umegundua hakuna usajili juu ya hiyo kampuni wala account number yake,sasa wadau nitafanyaje kuipata hii pesa kwenye cheki hii.
TAREHE ya cheque italeta utata kwani itakuwa kabla ya kampuni kuwepo duniani. Angalia watu wa Financial intelligence unit watakufanya kitu mbayaKama una uhakika hiyo cheque ni ya kweli, inabidi kwanza usajili hiyo biashara kwa jina hilo lilopo kwenye cheque, halafu fungua account bank kwa same name, baada ya kufanya hivyo deposit hiyo cheque yako. Angalia sana cheque zina expire baadaya ya miezi sina kwahiyo usichelewe.
Pole Mkuu, hata hvo ulizembea kidogo kaka, mpaka unanunua kampuni hakuna hata document za kampuni ulizokabidhiwa?...Dah!
TAREHE ya cheque italeta utata kwani itakuwa kabla ya kampuni kuwepo duniani. Angalia watu wa Financial intelligence unit watakufanya kitu mbaya
TAREHE ya cheque italeta utata kwani itakuwa kabla ya kampuni kuwepo duniani. Angalia watu wa Financial intelligence unit watakufanya kitu mbaya
Nina cheque ya milioni kadhaa imeandikwa jina la bishara ambayo nilinunua kutoka kwa jamaa yangu. Utafiti wangu umegundua hakuna usajili juu ya hiyo kampuni wala account number yake,sasa wadau nitafanyaje kuipata hii pesa kwenye cheki hii.
TAREHE ya cheque italeta utata kwani itakuwa kabla ya kampuni kuwepo duniani. Angalia watu wa Financial intelligence unit watakufanya kitu mbaya
Mie ninajua kuna asasi fulan nkiongea nao ukaideposit af uwagee chao ela ikitoka.Kama vp nipe mawasiliano yako au ni pm