Cheo cha Mkuu wa Wilaya kimepoteza thamani na heshima

Binafsi sioni tatizo isipokuwa wivu unawasumbua watu na kujiona bora kuliko wengine viongozi wanaandaliwa kama kapikwa na kaiva kupewa majukumu tatizo nini kama sio umbea? Jokate ametokea kwenye tasnia ya urembo ulitaka avae kama bibi zetu? Leta hoja kwamba ameshindwa kazi tutakuelewa nje ya hapo kaa Kimya.
 
Kuna maisha binafsi na maisha ya kikazi. Ukioanisha aina hizo mbili za maisha unakuwa humtendei haki mtu.

Ni sawa sawa na ule mfano wa Yesu alipowaambia wale jamaa waliotaka kumpiga malaya, kwamba ambaye hana dhambi na awe wa kwanza kumrushia jiwe huyu dada.

Alipoinua macho akajikuta amebaki yeye na huyo malaya, akamwambia usitende dhambi.

Jokate yupo vizuri sana kichwani, anapewa wilaya ili azoee uongozi, ni kipaji kinachotakiwa kikuzwe.

Kaka Jerry pia ni mtu mzuri sana kwenye marketing, kwenye mauzo na matangazo, alidhihirisha ubora wake alipokuwa msemaji mkuu wa Yanga.

Kuna kizazi cha vijana ambacho hakipaswi kupotezwa, eti kwa sababu ya mambo yanayofanyika gizani.

Can you fly to KIA this weekend?, maneno hayo aliambiwa mrembo mmoja.
Yuko vizuri kuonyesha shanga hadharani? hata kama ni maisha binafsi lkn kuna maadili katika jamii huna budi kuyafuata.
 
Miaka ya nyuma cheo cha DC kilikuwa kinaheshimika sana miongoni mwa jamii yetu na mtu aliyekuwa anateuliwa nafasi hiyo ilikuwa lazima anajulikana kwa heshima yake.
Heshima ya cheo hicho ni pamoja na kupewa uwezo wa kusimamia tukio kubwa la kufungisha ndoa jambo ambalo ni takatifu kabisa.
Sasa kweli nafasi kama hizo wanapewa watu kama Jerry Muro au Jokate? Hapo sasa ni hakika kuwa DC tena sio mamlaka yenye heshima tena.
View attachment 821681View attachment 821682View attachment 821683
Acha wivu kijana..Jokate is a very smart and hardworking girl.She deserves more than being a Dc
 
Rais w croatia ni mla bata mzuri

Ila haikumzuia kuukwa urais

Na nchi anaiongoza kwa weledi

Saiv uongozi ni umaarufu sio elimu wa heshima uliyonayo katika jamii



Amir khan alkua mcheza kriket, saizi ndie rais wa pakistan
ana kula bata", huku akiwa amevaa nusu uchi" Kama amir khan hakuwa na matukio machafu " katika maisha yake" bado hakuna ubaya wakumzuia yeye kuwa kiongozi wanchi"" .. by the way nakubaliana na hoja yko", kuwa sasa hivi kuupata uongozi wanaangalia umaarufu" sio elimu na heshima
 
TISS nadhani huwa hawafanyi vetting kwenye baadhi ya maeneo. Mfano, social life ya mhusika, financial history ya mhusika, yaani hao TISS sidhani kama waliingia kwenye mitandao kujaribu kuona jinsi Jkate alivyo na dalili za umalaya ( hasa kukata kiuno huku anareokodiwa, kuvaa shanga na kujipositi). Ila kama mamlaka ya uteuzi ikipitia upya, nadhani watampangia kazi nyingine.
Mwacheni akafanye kazi akharibu ataondolewa uzuri JPM hana rafiki na wazembe kazin.Awe alikua anafanya mambo ya umalaya kama amebadilika na ana uzalendo anafaa kibaya ni kua na kiongozi mwizi mpiga dili.Hao wasomi na wazee tunaowataka sisi ndo waliotufikisha hapa wamefanya mambo ya ovyo ya kupiga hela zetu heri kumchagua darasa la nne au darasa la saba kuliko kuchagua masomi majizi yanarudisha maendeleo yetu nyuma
 
Last edited by a moderator:
Miaka ya nyuma cheo cha DC kilikuwa kinaheshimika sana miongoni mwa jamii yetu na mtu aliyekuwa anateuliwa nafasi hiyo ilikuwa lazima anajulikana kwa heshima yake.
Heshima ya cheo hicho ni pamoja na kupewa uwezo wa kusimamia tukio kubwa la kufungisha ndoa jambo ambalo ni takatifu kabisa.
Sasa kweli nafasi kama hizo wanapewa watu kama Jerry Muro au Jokate? Hapo sasa ni hakika kuwa DC tena sio mamlaka yenye heshima tena.
View attachment 821681View attachment 821682View attachment 821683
Mwacheni Mheshimiwa DC Jokate akafanye kazi aliyoteuliwa na Mheshimiwa Rais wetu. Nina hakika atafanya vizuri. Rais anatengeneza hazina ya uongozi ya vijana wadogo ambao ndio watakuwa viongozi watakao pewa nyadhifa kubwa zaidi hapo baadae kwani watakuwa wamepata uzoefu mkubwa. Hapa Kazi tu, naunga mkono uteuzi!!!
 

Tusimlaumu Mheshimiwa Mwegelo kwasababu ya uvaaji wake wala maadili yake.

Tukisema tuangalie sana maadili katika kupata viongozi tutapata tabu sana.

 
Huo ndiyo utawala wa kidemokrasia unaoruhusu hata DJ kuongoza nchi, akina Joti wanaweza kuwa wakuu wa mikoa na kadhalika.

Akina dada oyeeeeee! Jamani tuwaamini kuwa wanaweza sana.
 
Yuko vizuri kuonyesha shanga hadharani? hata kama ni maisha binafsi lkn kuna maadili katika jamii huna budi kuyafuata.
Mkuu unaonekana ni shabiki mzuri wa udaku. Hakuna malaika chini ya jua, Mbowe alituhumiwa kutembea na Wema na bado ni kiongozi mkuu wa chama.
 
Last edited by a moderator:
Kwako hata shoga akiwa hard working ni sawa tu.

Yeah kwani sio binadamu? Unaishi kwenye dunia ya wapi ? Matter fact ushoga ni tabia ambayo wengi wanafanya kwa siri ..Hata baba ako anaweza kuwa shoga sema hujui..
 
Last edited by a moderator:
Hakuwa na matendo ya umalaya umalaya. Jokat kinachomdhalilisha ni ile video ya kukata mauno huku anarekodiwa, pia kuoiga picha huku shanga inaonekana na kuiweka kwenye mitando ni kinyume na maadili ya mtanzania
Kumbe kuna wakati una ujua ukweli
 
Nadhani wewe utakuwa ni wale waliokariri kuwa ma DC ni lazima awe na mvi kibao,upara mkubwa,kitambi kikubwa,mbabu flani hivi n.k.n.k.this is a new era mkuu,hii ni awamu ya 5,the speed is a bit high,acha hizo bana...
 
Last edited:
PAP Investment to the National Grid wajua vile Bacongo tunasemaka Mugema akasifiwa basi kutia maje kwa pombe.Wapi Papa Mshana Jr mulezi ya wana na DC mutarajiwa ya Musata.
 
Wivu tu unawasumbua nyie chadema. Ndio maana siri zenu zote zinaanikwa. Effect ya albadir hiyo
 
Back
Top Bottom