makorere
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 1,761
- 1,203
Binafsi sioni tatizo isipokuwa wivu unawasumbua watu na kujiona bora kuliko wengine viongozi wanaandaliwa kama kapikwa na kaiva kupewa majukumu tatizo nini kama sio umbea? Jokate ametokea kwenye tasnia ya urembo ulitaka avae kama bibi zetu? Leta hoja kwamba ameshindwa kazi tutakuelewa nje ya hapo kaa Kimya.