Werema alifanyafanyaje mpaka kapata u AG?
chenge ni mkali sana.sema ufisadi tu ndio unaomwangusha.kama umesoma LL.B UTAMKUBALI SANA.HAVARD SIO MCHEZO KAKA.
Chenge anauelewa zaidi ya werema ktk hiyo profetional
Chenge anauelewa zaidi ya werema ktk hiyo profetional
Mnamlaumu Werema? Aliyemteua?
Nasikia Bachelors yake alisomea Harvard. Lakini bahati mbaya sana, kama yanenavyo maandiko, rushwa hupofusha hata mtu kusahau fani na wajibu wake.
Chenge amekuwa ana chip in mara kwa mara katika mijadala hot na mara nyingi akiikosoa na kusahihisha hata lugha.
Werema anatakiwa ajitahidi sana kwani naona kila mara anakuwa kama mtu mwenye hasira.