Chenge outshines Werema

kwa huyu Werema hapa nitamlaumu aliyemteua kabisa....maana huyu anakuwa kama rubber stamper wa kupindisha vifungu vya sheria.......kweli tuna shida kubwa sana TZ....we angalia...bunge linalotunga sheria linaongozwa na kilaza Makinda.....hapa kwa AG kuna huyu kilaza Werema.....yaani ni shida kubwa..ndio maana tunasema kuna haja kwenye katiba mpya kuweka kabisa wazi njia ya jinsi ya kuwapata hawa watu....hizi teuzi tata hizi zinaligharimu sana taifa......
 
tufike mahali wanaoteuliwa wathibitishwe na bunge kama kenya maana huu urafik na kuwekana kwa maslah ndo shida
 
Chenge amekuwa ana chip in mara kwa mara katika mijadala hot na mara nyingi akiikosoa na kusahihisha hata lugha.
Werema anatakiwa ajitahidi sana kwani naona kila mara anakuwa kama mtu mwenye hasira.
naona leo kaibuka tena!
 
Chenge aligundua mapema kuwa pamoja na kusoma sana na kusugua kipara chake pale harvard, angeweza kufa masikini ndo maana aliposoma alama za nyakati akaamua kuchukiua chake mapema.
Nchi yetu haihitaji uadilifu maana utakuta mwadilifu mmoja ila waliokuzunguka wote wanaiba sasa ina maana gani?
Mwacheni ale vijisenti naamini hata sisi tungepata hiyo nafasi wala tusingechelewa kubeba mapesa.

Tunaolalamika ni wale tusio na uwezo wa kula hela za serikali, ila tukipata hiyo nafasi hamtatusikia tukilalamika.

Spot on! Bahati nzuri natumia simu ninge ku-like!
Tena wanaozila hela za serikali hata muda wa kuja "ku - lurk humu jf hawana wako wanakula hata tu na kuvimba matumbo!

Tanzania kila siku kila kitu tunarudi nyuma tuu! Hata ku beat standard moja ya Mwalimu nduh! Mwanyika na Werema ni sub standard just like the trend on Msekwa - Six - Chicken kids! Au Msuya - Kikwete -Mramba - Mkulo! Duh
 
Chenge amekuwa ana chip in mara kwa mara katika mijadala hot na mara nyingi akiikosoa na kusahihisha hata lugha.
Werema anatakiwa ajitahidi sana kwani naona kila mara anakuwa kama mtu mwenye hasira.

naweza kukubaliana na wewe
 
Back
Top Bottom