Hapo kuna ishu ya usalama pia. Si unajua kuwa Chenge ni Rafiki Mkuu wa Lowasa? Huenda kuna mtego uliandaliwa. Big up sana Magufuli. Unaongozwa na Nguvu za Mungu
Ahaaa mwaka huu ccm Lowasa kawashika hasa.ebu naomba ujibu maswali haya.
1.Tangu Magufuri aanze mikutano ya campaign mikoa kadhaa sasa je Amefika nyumbani mwa.wagombea ubunge wangapi kwa ajili ya kushiriki chakula?Taja jina la mgombea ubunge na jimbo husika.
2.Unasema Magufuri amekataa chakula nyumbani mwa chenge hivyo kashinda na njaa je utaratibu wa chakula cha mgombea chama kimetoa maelekezo mgombea baada ya Kampeni atakuaa anaenda kula kwa mbunge?
Humu kuna watu na akili zao kijana sawa?siku zingine husirudie
Pumbavu kabisa hapo sio Bariadi ni Meatu stendi ndipo kahutubia maana tulikuwepo. Bariadi ni kesho usifikirie na sisi ni kunguni kama wewe.
Hasirudi au vp,
Huwezi kumkataza mwanachama kuchukua fomu ya kuomba uongozi.
Vikao vya juu vya chama havikulikata jina la Chenge kwa sababu kwa sasa chama kimeweka utaratibu wa kutowachagulia wanachama/wananchi mgombea.
CCM imepata somo la kutowachagulia wanachama/wananchi mgombea kutokana na makosa yaliyofanyika katika uchaguzi wa 2010 ambapo chama kilipoteza majimbo kama Iringa kwa mtindo huo.
Wananchi ndiyo wataamua kwa sasa baada ya wanachama wenyewe kumpitisha kwenye kura za maoni.