Potter anaweza kuwa amekosea leo ila ni mtu ambae ni rahisi kuonq mapungufu yatim wakat game inaendeleaKocha kazingua,
Naitwa Dennis Zakaria nimesajiliwa na Chelsea kuja kula mshahara bure.
Mshahara wa bure ni mtamu nyamnyam View attachment 2401203
Hebu tuache😂Ila Chelsea mmejua kunichekesha leo 😂 😂 😂 😂
We mbulukenge kuja kwa huku tukibandue next week tunakugonga kama ngomaTumezingua kinyama. Ngoja nizame zangu chimbo
Auntie na heshima yako yote unashangilia hawa failure!?Hebu tuache😂
Pambana timu yako isishuke daraja.,Ila Chelsea mmejua kunichekesha leo
Kumbe sophy27 wewe ni chelsea mwenzangu leo tumeibishwa aiseeHebu tuache😂
Baby huoni nyuma yako! unaona kwa wengine tu!Ndio mfungwe ma4 sasa??
🤣🤣🤣🤣🤣 Nilijipooza kwenye Mwaliko hapa kwa jirani kulikuwa na sherehe kidogo maumivu yakapunguaTumepigwa kama dufu