BekaNurdin
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,267
- 2,041
Chelsea my favourite team, siamini kama tumeanza kukata pumzi!
Chelsea my favourite team, siamini kama tumeanza kukata pumzi!
Tutoe hiyo 80 tumchukue RICE kante pumzi imeanza kukata amefanya kazi kubwa sana tangu 2015 ,Akili inataka ila mwili hautaki
Umeelewa nilichoongea au umeilukia dudu kwa juuMmeanza kuchanganyikiwa sasa, Kante amecheza leo?
Na bado, sasa hivi tunavizia kwenye mshono tu.
Nguvu ya sodaaa...Hadi sasa bado tunaongoza ligi jamani
Kuimba ni kupokezanaKutesa kwa zamu
HahahahaOlachuga na kim joo yun kwasasa huko walipo.View attachment 2032816
bado tunaongoza ligi tunamuombea mabaya city View attachment 2032917
arudi TU Kwa insigeLukaku game 10
Goal 0
Asist 0
Jasho ndoo kumi
Huyo na wener tujiandae kisaikolojia hawaendani na mifumo ya timu zinazopiga pasi fupi fupi Lukaku bila space ni mugalu tu poor touch kwa hiyo injury sio tatizo kubwa tatizo tulimnunua baada ya kukosa option za kwanzaUmenena vema, mechi ya nyumbu na hii ya leo, Lukaku amekuwa mtumishi hewa. Hope atarudi kwenye ubora wake baada ya injury