Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,678
- 2,882
Mil100Mara ya mwisho lukamavi kufunga Lini? Ana mechi karibia 8 mashindano yote hajafunga goli .
Mil100Mara ya mwisho lukamavi kufunga Lini? Ana mechi karibia 8 mashindano yote hajafunga goli .
Wewe ni mamluki wa aser8, livakuku,mwanitesa united au manshitWest Ham tuna Jambo letu leo
Hapo rudiger alimfata baada ya goli kuingia akamwambia..km ungedaka hyo sahv Huna kizazi
Unafikiri ssi ndio ww? Ulivyojipitisha na kanga imelowa maji moyes aka kupiga bao 3 uka lala mwepesiiiiWe unazani kila utake mchanganya atachanganyikiwa? Ngoja mkajichanganye wenyewe.
Dua la kuku halimpati mwewe!Mimi nawaombea njaaa ...Leo westham awapunguze makali akidogo .....
Come on westahm ....
Baada ya hii utahamia mechi gani?Mimi nawaombea njaaa ...Leo westham awapunguze makali akidogo .....
Come on westahm ....
Odoi kabisa hajui wala hawezi kukaba, bora huyo AzpilicuetaAzplicueta pumzi ishakata, akicheza rwb tu inakuwa shughuli
Ni bora kumchezesha CHO lwb kuliko alonso/azp if tunataka mtu anayeweza kutupa alichokuwa anatupa chilwel
Soma iyooooPiga makima haya ze buluzi
Yaani dahUpumbavu kama huo ndio nni na mendy kutoa alikuwa anasubili nn?