John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,003
- 2,267
Je Barkley ataiweza hyo nafasi ya CM/ DM Kwa ulinganisho huo ? Maana Barkley ni more Of A CAM nionavyo
- Saul asipewe tena hata dk 5
- Alonso amedowngrade quality ya Chelsea
- Silva ni wa muhimu pale nyuma
- Cheek ni mchezaji mzuri ila sio kwa katikati labda kule mbele
- Ziyech atulie, ana papara sana hasa kwenye kupasi
- Tunazidi kuishiwa option kama kweli Chalobah kaumia
- Saul 10 = 1 Barkley
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app