Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,352
Mtoto.wa juzi huyoMkuu sometimes unajitoa ufahamu. Nafikiri akili yako haijakaa sawa tangu tukuaibishe three times na kuchukua UEFA mbele yako tena ukiwa mzima kabisa.
Chelsea imeshachukua EPL mara mbili mfululizo. Labda kama umeanza kuwngalia mpira msimu wa 2017-sasa. Nenda kagugo uone. Labda nikuambie tu najua huna bando ya kugugo. Msimu wa 2004/2005 na 2005/2006. Chelsea ilichukua Epl two times.
So inatakiwa uwe na adabu unapokuja hapa.
Chelsea imechukua UEFA champion mara mbili Eropa Legue mara 2 Man city yeye kachukua nini
Man City enzi hizo ilikuwa sawa na Norwich city tu kabla hawajaja waarabu