everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,627
- 15,017
ahahahaha. Hii ndiyo FA cup. Kuanzia jana mpaka leo ni shiiida!
Loh! Leo ni shiiiiiiida zaidi aisee,vibonde wote leo chali.....
ahahahaha. Hii ndiyo FA cup. Kuanzia jana mpaka leo ni shiiida!
hawa commentators wa leo mpaka wanashangaa kuwa kuna mtu aliwaza hili kutokea? lakini kwenye soka linawezekana. salamu ziwafikie arsenal kesho.Loh! Leo ni shiiiiiiida zaidi aisee,vibonde wote leo chali.....
hawa commentators wa leo mpaka wanashangaa kuwa kuna mtu aliwaza hili kutokea? lakini kwenye soka linawezekana. salamu ziwafikie arsenal kesho.
Wachezaji wamechoka hapa,wapo burnout maana wanacheza hao hao kila game
Asipo badili mfumo mwaka huu tena hampati kombe lolote
Kweli kabisa kaka hayakuwa malengo, lakini imeuma sana kutolewa na timu kama hiyoAnyway tumebakiwa na matatu sasaTatizo sio kuchoka tatizo wachezaji waliizarau hiyo timu na kuona wako home wakachukulia rahisi kua watashinda tu kumbe mambo yako tofauti.
Ni kweli aisee game zimekuwa nyingi sana.....ila mtani siyo kama vile sizitaki mbivu hizi....lol
Morinho hua ni ms...e na timu nayo yacheza kise....e sana
Bora Liver wamtoe na PSG wamtoe na Apoteze EPL ili atimuliwe ni mjinga sana huyu babu. Kenge kabisa.
Morinho hua ni ms...e na timu nayo yacheza kise....e sana
Bora Liver wamtoe na PSG wamtoe na Apoteze EPL ili atimuliwe ni mjinga sana huyu babu. Kenge kabisa.
Kosa la Mourinho ni lipi labda uniambie ili tuweze kujadiliana....
Hahahahaaaa..............! Unajua mamito km tungeendelea kushikilia haya mashindano yote basi kungekua na uwezekano mkubwa wa kukosa makombe yote. kwa mfano, Liverpool wamebakizi Capital One Cup na EPL wanapambana angalau waingie top four kwahiyo hawa wanpumzika sn kiasi wanaweza kufanya vzr ktk michezo yao alkadhalika kwa Man City, kwahiyo sisi kuendelea kushriki michezo yote ingefikia hatua tukayumba kabisa....Bora imekua hivo angalau tutakua na focus nzuri ktk makombe makubwa mawili maana hili la Capital One ni la kuchukua tu... macho yetu sasa ni EPL na CL
Hahahahaaaa..............! Unajua mamito km tungeendelea kushikilia haya mashindano yote basi kungekua na uwezekano mkubwa wa kukosa makombe yote. kwa mfano, Liverpool wamebakizi Capital One Cup na EPL wanapambana angalau waingie top four kwahiyo hawa wanpumzika sn kiasi wanaweza kufanya vzr ktk michezo yao alkadhalika kwa Man City, kwahiyo sisi kuendelea kushriki michezo yote ingefikia hatua tukayumba kabisa....Bora imekua hivo angalau tutakua na focus nzuri ktk makombe makubwa mawili maana hili la Capital One ni la kuchukua tu... macho yetu sasa ni EPL na CL