Ah wapi,jaguar hawezi kuwa Excellent namna hii!ah haaa haaaa...................mkuu na ile ID ya Jguar ni ya kwako nini???kuna kigezo fulani ukiacha fun msgs kuna kigezo nakiona hebu ntaku pm
Haaaaa haaaa haaaaa!excellent bwana!Jaama aliingia kwenye daladala,akakutana na dada m1,mazungumzo yalikuwa hv.....
Jamaa:Samahan dada et we unaitwa google?
Dada:Hapana...,mbona umedhania hvyo...?
Jamaa:Kwa sababu una kila kitu nnachotafuta
Haaaaaa haaaa haaaaa!uwiiiiiiiii jaman jf rahaaaaaaaaa!big up mkuu!Katika mazoezi ya mgambo kutafuta wanajeshi.uliwadia muda wakulenga shabaa,kamanda wa kikosi akasikia mmoja wa mgambo wake anamwaga risasi kama rambo,akamfuata akaangalia wapi alipopiga,akakuta hajalenga hata risasi moja kwenye ile karatasi ya shabaa.akamuuliza
kamanda-mbona hujapata hata point moja kwenye kulenga shabaa?umebakiwa na risasi ngapi?
Mgambo-siwezi,na nimebaki na risasi moja
kamanda-(kwa hasira)nenda kule msituni kajiue nayo kichwani ufie hukohuko.
Mgambo akaondoka akaenda porini kujipiga.dk2 zikaisha huku kwa kamanda wakasikia mlio wa risasi,kamanda akaamua kwenda kumwangalia kama jamaa amejipiga kweli,hata hajafika porini anakutana na mgambo anarudi.
Kamanda-wee sinilikuambia uende ukajiue
mgambo-nimejipiga ila nimejikosa.
Haaaaa haaaaa haaaaa!askari kachanganyikiwa!Daktari wa saikolojia alitembelewa na askari jela na mazungumzo yakawa hivi.
ASKARI:hivi dokta huwa unamjuaje mtu aliyechanganyikiwa akili?
DR:Aaah huwa namuuliza swali jepesi ambalo mtu mwenye akili timamu ataweza kulijibu.
ASKARI:Swali kama lipi?hebu nipe mfano.
DR:Ok...kwa mfano...Chifu mkwawa aliwahi kupigana vita mara tatu na kifo chake kilitokea akiwa vitani.Je ni vita ipi hiyo??
ASKARI:Aaah..mmmh...kwa kweli mi siko vizuri sana kwenye historia,hebu nitafutie swali lingine mbali na historia