cheka kiduuuunchu!!

snochet

JF-Expert Member
Mar 31, 2011
1,407
1,110
Nyoka na mama yake
Siku moja nyoka mmoja akiwa na familia yake wakipaata msosi,motto wa nyoka akaanza kumuuliza mama yake
Motto:eti mama,ni kweli tuna sumu kama watu wanavyosemaga?
Mama:ndio mwanangu……………kwa nini umeuliza hivyo?
Motto:nimejing’ata uliimi wakati natafuna.

Mwanafunzi kilaza
Mwalimu wa hisabati anaingia darasani anauliza.
Mwalimu:nani anajua kutafuta eneo la pembe tatu?
Mwanafunzi:kwanza ulipotezea wapi?
 
Nyoka na mama yake
Siku moja nyoka mmoja akiwa na familia yake wakipaata msosi,motto wa nyoka akaanza kumuuliza mama yake
Motto:eti mama,ni kweli tuna sumu kama watu wanavyosemaga?
Mama:ndio mwanangu……………kwa nini umeuliza hivyo?
Motto:nimejing'ata uliimi wakati natafuna.

Mwanafunzi kilaza
Mwalimu wa hisabati anaingia darasani anauliza.
Mwalimu:nani anajua kutafuta eneo la pembe tatu?
Mwanafunzi:kwanza ulipotezea wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom