Mtendaji wa kaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 334
- 57
Habari zenu wakuu! Napenda kuuliza kwa wenye uzoefu na haya mambo! Cheque namba imetoka tarehe 07.08 ni mwajiriwa upya,je uhakika wa mshahara mwisho wa mwezi huu wa nane upo? Nawasilisha
Habari zenu wakuu! Napenda kuuliza kwa wenye uzoefu na haya mambo! Check namba imetoka tarehe 07.08 ni mwajiriwa upya,je uhakika wa mshahara mwisho wa mwezi huu wa nane upo? Nawasilisha
Unaongelea Cheque Number au?
Sio check ni cheque
Poa WileUkifanikiwa utukumbuke na sisi!
Ni mwajiriwa mpya,nimeambiwa check namba ya mshahara imetoka! Wanasema ninasomeka hazina je mshahara wa mwezi huu nitapata? Maana bila check no/cheque no..wanasema hupati fedha.
lazima utapata tu
Utapata uwe na amani.Sawa...nimeelewa! Rejea swali langu
Sio check ni cheque
Habari zenu wakuu! Napenda kuuliza kwa wenye uzoefu na haya mambo! Cheque namba imetoka tarehe 07.08 ni mwajiriwa upya,je uhakika wa mshahara mwisho wa mwezi huu wa nane upo? Nawasilisha
Inategemea ni English ya wapi kama ni US-en then yuko sawa.Sio check ni cheque
Sawa mkuuutapata mkuu