Watu wengine bwana hawatoi msaada wowote! Jamaa anaomba hiyo link na wengine wanakazania eti awe na printer! Mpeni hiyo link na ndio aweze kuprint ili apate hard copy! Hilo jarida sio kila mtu amepata kwenye email yake and inawezekana kabisa huyo jamaa hapo juu hajapata sasa anaomba url ili aprint apate - sasa tatizo liko wapi? Hata kwa Michuzi ukibofya link ya jarida hili ikifunguka inakupa tuu front page peke yake - unless jarida lote ni page moja!!!
Mwanakijiji, weka link hiyo wazi if you want wider view of this jarida. Your website also doesn't have the link as far as I can see.
Angalia lugha yako!! sidhani kama ni ustaarabu kuita watu SYCOPHANTS...ukiitwa wewe majina ya hivyo utakimbilia kwa Mods huku unalialia umetukanwa!! Isitoshe una uchache sana wa kitu flani kichwani na huelewi kabisa darasa la jinsi "vichwa" vinavyofanya kazi.....au pengine umekuwa kienyeji kama wale kuku wa kibongo!
Soma hii hadithi hapo chini "The Lady or The Tiger," halafu kwa mara ya kwanza in a looooooooooong time na kushawishi ufikirie kwa kina!!http://www.eastoftheweb.com/short-st...LadyTige.shtml Watu wana haki ya kumpinga MKJJ kama wewe ulivyo na haki ya kumuunga mkono......mijitu mingine hoooovyo sana!
Jamana ni mimi tu asiyeweza ku-download "Cheche" au wapo wengine wenye tatizo kama langu?
MMJ vipi zile tetesi za madeal ya mafuta ya jeshi?
MMJ vipi zile tetesi za madeal ya mafuta ya jeshi?
Angalia lugha yako!! sidhani kama ni ustaarabu kuita watu SYCOPHANTS...ukiitwa wewe majina ya hivyo utakimbilia kwa Mods huku unalialia umetukanwa!!
Isitoshe una uchache sana wa kitu flani kichwani na huelewi kabisa darasa la jinsi "vichwa" vinavyofanya kazi.....au pengine umekuwa kienyeji kama wale kuku wa kibongo!
Soma hii hadithi hapo chini "The Lady or The Tiger," halafu kwa mara ya kwanza in a looooooooooong time na kushawishi ufikirie kwa kina!!
Short Stories: The Lady Or The Tiger? by Frank Stockton
Watu wana haki ya kumpinga MKJJ kama wewe ulivyo na haki ya kumuunga mkono......mijitu mingine hoooovyo sana!
Ninavyojua mimi neno sycophant utaliona tusi kama tu unataka liwe tusi. Mimi nimewahi kuitwa sycophant humu humu JF kwa kumuunga mkono mchangiaji moja. Kwa sababu nalielewa hilo neno sikulalamika - mimi on the other hand sijalielekeza kwa any specific individual. Hata hivyo kama kuna mtu amekwazwa na hilo neno tu na sio maudhui mazima ya post nasema SAMAHANI.
once again big up mwnkjj..............
mwanakijiji amefanya part yake nawe unaweza kusaidia kwa kutoa print out na kuzisambaza kwa kadri uwezavyo, mie nafanya hivyo sasa hivi!
MKJJ,
Shabiki wako bw/bi. Mag3, ka-commit two terrible fallacies ktk post yake hapo juu!! halafu akatuwekea na deductive reasoning ya Aristotle....kwa taarifa zake ni kuwa, sio wooote wanaopingana na MKJJ hapa ni sycophants, au ni mashabiki wa mafisadi, au wanachuki binausi, au vyovyote!!! Hizi ni mind battles...ni watu kama Mag3 ndio wanarudisha nyuma bongo.