CHASE GAME: Hapa kuna historia na mchanganyiko wa mengi...

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797
April 03 2013


964410605.jpg
 
Huyo mtu wa NNE why with a BLACK BRIEFCASE?? Ametuuza? au USWIS?

Na Angalia juu ya kichwa chake hicho kitu cheupe ni nini?
 
Aaaakh,basi bwana nimetamani hata kulia kwa kweli inauma sana
 
Yaani hayo Magorofa hayajaongezeka tu toka Nyerere 1962 hadi Kikwete? 2013?
Tungeoneshwa idadi ya Maghorofa ya Enzi hizo nz Skyscrapper za Jiji la Dar leo
Picha haiendani na uhalisia wowote kwanini inaficha upande mwingine?
964410605.jpg
 
Yaani hayo Magorofa hayajaongezeka tu toka Nyerere 1962 hadi Kikwete? 2013?
Tungeoneshwa idadi ya Maghorofa ya Enzi hizo nz Skyscrapper za Jiji la Dar leo
Picha haiendani na uhalisia wowote kwanini inaficha upande mwingine?
964410605.jpg



haliyetupia izi picha hana upeo mkubwa wa kufikili.
 
Huyo wa mwisho mbona ana briefcase ambayo wenzake wote mpaka wameondoka hawakuwa nayo! Haaaaaaaaa kuna kitu kimefichika hapa.
 
Hivi lile jengo la chang'ombe lilianguka wakati wa JK?
ndio mkuu na waziri mkuu alikuwa mamvi na kwa mkwala akamsimamisha mkurugenzi nyundo pale pale hadharani na kisha ikaundwa tume nzito kama kawaida je katika hao wengine wapi ilanguka ghorofa.ama kweli kuna watu wana mikosi humu duniani.karibu pilau ikulu mkuu.
 
Back
Top Bottom