Kwa karne hii hufai kufanya hivyo hata kama una hela zimejaa dunia nzima, sehemu ya kutunzia zipo zimejaa tele kwa nini ku - risk?
Ya nini na kwa mahitaji gani uweke 300 ml home?
Polisi imeingilia kati ili ripoti isitoke...up todate sasa hv marehemu ndo anazikwa
Nani alikuwa na marehemu kabla hajauwawa ambaye wali hesabu wote zile hela?acheni ushabiki wa ajabu ajabu,marehemu alimjeruhi polisi kituoni kwa hasira za gari lake kukamatwa,kisha akaimbilia kwake,alikuwa amelewa na confused,akaenda kwa jirani akakwapua combat,alipoona nyumba imezingirwa akajipiga risasi tumboni,mkewe aliruka na kumkumbatia akimbembeleza asijue,yeye aakmuamrisha mkewe aondoke mara moja ama sivyo atamuuwa,kitendo cha mkewe kumpa nafasi akajiongeza ya pili usoni.Suala la risasi mbili au tatu mwilini sio issue,inategemea amejipiga wapi.Kama angekuwa na matundu mawili ya risasi kichwani then hio ni habari nyingine,lakini tumboni alafu kichwani ni kitu cha kawaida.Mimi sitetei polisi ila tu nawashangaa mnajadili sana bila kuulizia maendeleo ya askari aliyepigwa risasi kadhaa na marehemu,bila shaka angeuwawa polisi mgesema ni sawa
Kwa nini mtu unakaa na cash nyingi hivi nyumbani?? Milioni 300???
Hivi Geita hauna Benki?
Mkuu nimekusoma sawia, ila inahitaji uwe umeshapitia hizi biashara ndio ujue. Unaletewa jiwe watu wanataka kwenda "kuweka heshima bar" au kwa kina joyce, huna cash anauziwa tajiri mwingine. Na pengine ni jiwe lenye sifa!!Kutokana na aina ya biashara aliyokuwa anafanya hakuna cha ajabu hapo. Wafanyabiashara wengi wa madini huwa wanakuwa na pesa Kama hizo au zaidi nje ya mabenki. Ukiletewa mzigo usiku wa milioni 20 utafanyaje na huku mabenki yanakuwa yamefungwa. Mara nyingi hao wauzaji wadogo wadogo wanataka hela hapo hapo hamna habari ya njoo kesho uchukue hela.
Hamna cha ajabu kwa mfanyabiashara wa aina hiyo kuwa na kiasi Kama hicho nyumbani kwake au ofisini. Benki ni wasumbufu sana haswa mikoani...kuna watu wananielewa namaanisha nini hapa.
Ni kweli mkuu kwa biashara ya madini inavyofanyika wala hakuna cha ajabu hapo. Tatizo watu wanajifanya wanajua kila kitu na wanakosoa na kulaumu tu.Kutokana na aina ya biashara aliyokuwa anafanya hakuna cha ajabu hapo. Wafanyabiashara wengi wa madini huwa wanakuwa na pesa Kama hizo au zaidi nje ya mabenki. Ukiletewa mzigo usiku wa milioni 20 utafanyaje na huku mabenki yanakuwa yamefungwa. Mara nyingi hao wauzaji wadogo wadogo wanataka hela hapo hapo hamna habari ya njoo kesho uchukue hela.
Hamna cha ajabu kwa mfanyabiashara wa aina hiyo kuwa na kiasi Kama hicho nyumbani kwake au ofisini. Benki ni wasumbufu sana haswa mikoani...kuna watu wananielewa namaanisha nini hapa.
Hili ndio tatizo letu kubwa Watanzania mkuu.Ni kweli mkuu kwa biashara ya madini inavyofanyika wala hakuna cha ajabu hapo. Tatizo watu wanajifanya wanajua kila kitu na wanakosoa na kulaumu tu.
Hii serikali yetu sasa imekuwa chinja chinja, itabidi ichukuliwe hatua!Inavyosemekana na Ndugu wa Marehemu na watu walioshuhudia Polisi wakimchukua Marehemu nyumbani kwake.
Wingu la sintofahamu kuhusu kifo cha mfanyabiashara wa madini aliyedaiwa na polisi kujiua mkoani Geita (runzewe) baada ya ndugu wa marehemu kukataa kuuzika mwili wa marehemu mpaka uchunguzi (postmortem) ufanyike na hela zinazokadiriwa 300m alizokuwa nazo nyumbani kwake zilichukuliwa na polisi zipatikane.
Mwili umekutwa na tundu mbili za risasi kichwani na tumboni kitu kinacholeta wasiwasi kama kweli alijiua.
Juhudi za RPC wa Geita kuwatisha wazike zimeshindikana na marehemu amekwamia Geita Hospital