Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Ni kuhusu kumpa nafasi Shigolile RPC Moro kuongelea kwa upande wao kuhusu tukio la kuzuia maandamano. Ch Ten wangetenda haki iwapo msemaji wa CDM nae angepewa nafasi rasmi ya kulizungumzia tukio hilo kwa upande wao.