Changia Mzumbe Onesha Uspecial wako!

Kilongwe

JF-Expert Member
Feb 7, 2008
423
115
Wakubwa nina uhakika kwamba humu ndani kuna idadi kubwa mno ya wazumbe,Na wengi wao wapo kwenye vitengo muhimu ndani na nje ya nji hee(hehehe).
Sasa nina hii mission,Kwanini tusijiunge pamoja tukasaidia maendeleo ya shule yetu,kuanzia kifedha.kihali na hata kimawazo.Humu ndani kuna watu wa fani tofauti,Kuanzia maprogramer ambao watatutengenezea website,Malawyer wataotupa direction na mamanager watakaotupa mwanga jinsi ya kufanikisha hili.Waalimu watakaokuwa wanajitolea kipindi cha likizo zao kwenda kufundisha.
Kw mfano huku nje vitabu ni bei murua mno,so tunaweza tukawa tunawatumia hardcopy,Pia nina imani kama kila wazumbe kumi tukajichangisha tukanunua computer moja kw idadi ya Vichwa vilivyopitia MAVI tutapata hata computa mia nne na server kadhaa,then baadae tukadownload vitabu kibao na kuwawekea kwenye Library(Electronic),Mimi binafsi nipo tayari Bureee kwenda kuwatengenezea Intranet ambapo vitabu,tutorials na nondo nyingine zote zitakuwa mumo,Hii ni changamoto tu ambayo mimi binafsi nimefikiria,Nina uhakika watu mutakuja na mawazo kibao katika hili,nini tufanye na nini kina utata,Tulio nje na walio Nyumbani kwa pamoja tukishirikiana tunaweza kulifanikisha hili.
 
Last edited:
....KUmbuka mzumbe ilikuwa ni Special school so lazima tuoneshe kama sisi ni vichwa wa kweli na sio wa kubeba......

Mkuu wazo lako zuri ila hapo juu umenitatiza. Naona chembe chembe hai za ubinafsi. Kwa nini usiangalie hilo swala kwenye seti kuu ambayo ni utanzania na sio u-mzumbe? Huu ni ubaguzi.
 
Kwa nini baadhi ya watu wakisoma shule kama Mzumbe wanajiita kama Vichwa; taifa kubwa na kujigamba mbele za watu...kuna watu wanaenda mzumbe na point seven na wanagonga mzinga wa div. two. Je, nao ni vichwa sababu wamesoma Mzumbe? au maana ya kichwa ni nini?
 
wizi mtupu. uspecial ule wa kukariri. wazumbe, wairiboru, watb boys, na wakilakala, inawezekana kweli walikuwa wazuri kwa mitihani ile ya marudio ya sekondari zetu za tanzania, lakini fuatilia maendeleo yao vyouni ambapo hapakuwa na uspecial, utalia. hata hivyo mtakuwa wachache sana hapa jf kwani kwa asili ma bookworm sio wakosoaji, au wasemea jamii, ni wabinafsi, na watu waoga siku zote,
sina hakika kama utafanikisha azma yako hapa, kwa sababu hiyo, na kama wapo humu ni waliofrustrate kwa usongo wao kutomeet matarajio yao uraiani,ambao nao kiuhakika hawatakuwa msaada kwako. samahani kwa ujumbe ambao unaweza kukukatisha tamaa, lakini ndo ukweli ambao unabidi kuuzingatia kufanikisha azma yako.
 
NImewasikia wakuu,Lengo langu halikuwa baya na ukweli ni kuwa asilimia kubwa ya watu wanaoenda zile shule wana uwezo mzuri darasani ingawa hilo la ubebaji ni kweli na kwa sababu ya mfumo wetu wa elimu.
Lengo langu lilikuwa ni kutoa changamoto kwa wazumbe kama sisi na endapo kila Shule itakuwa na hari kizi basi tutafika mbali.Sioni cha ubaguzi.
 
Kuna mwaka enzi za wibonile(physics ---walikuwa wana maswali ya necta na majibu yake yote ,,loh,nkayachek nilikuwa minaki enzi hizo 2003 nkasema hayatatoka...

nusu nijiarishie siku ya necta ,yote yalitoka, paper 1,2 na practical.

<<nahoji--na huu ni usipeshooo>>

labda wa kukopi na kupesti.
 
Hata Obama alipoanza harakati za kugombea urahisi alipata mapingamizi mengi mno,hao wanaojiita Maniga ndio wlimuita si Mmarekani na si Nigga,Ila baadaye walipoona mambo mwake wakageuka na kuwa mstari wa mbele,
NINI maana yangu,katika kila movement kuna watu ambao wapo -ve muda woote,sasa hawa kama haupo makini nao wanaweza wakakuvunja moyo na kujiona ni lofa,Binafsi binadamu kama mimi hawezi kunirudisha nyuma na adhma yangu ila anaweza kunisababisha nibadilishe jinsi ya kwenda.Adhma bado ipo palepale na Ukweli bado upo kuwa Mzumbe ilikuwa ni Special na Hili tutalitekeleza,Iwe leo au kesho.
Tega sikio......Wakuu kama kawaida ni PM kama baadhi mulivyofanya kuangalia tunapanga vp mikakati.
 
Wakubwa nina uhakika kwamba humu ndani kuna idadi kubwa mno ya wazumbe,Na wengi wao wapo kwenye vitengo muhimu ndani na nje ya nji hee(hehehe).KUmbuka mzumbe ilikuwa ni Special school so lazima tuoneshe kama sisi ni vichwa wa kweli na sio wa kubeba.
Sasa nina hii mission,Kwanini tusijiunge pamoja tukasaidia maendeleo ya shule yetu,kuanzia kifedha.kihali na hata kimawazo.Humu ndani kuna watu wa fani tofauti,Kuanzia maprogramer ambao watatutengenezea website,Malawyer wataotupa direction na mamanager watakaotupa mwanga jinsi ya kufanikisha hili.Waalimu watakaokuwa wanajitolea kipindi cha likizo zao kwenda kufundisha.
Kw mfano huku nje vitabu ni bei murua mno,so tunaweza tukawa tunawatumia hardcopy,Pia nina imani kama kila wazumbe kumi tukajichangisha tukanunua computer moja kw idadi ya Vichwa vilivyopitia MAVI tutapata hata computa mia nne na server kadhaa,then baadae tukadownload vitabu kibao na kuwawekea kwenye Library(Electronic),Mimi binafsi nipo tayari Bureee kwenda kuwatengenezea Intranet ambapo vitabu,tutorials na nondo nyingine zote zitakuwa mumo,Hii ni changamoto tu ambayo mimi binafsi nimefikiria,Nina uhakika watu mutakuja na mawazo kibao katika hili,nini tufanye na nini kina utata,Tulio nje na walio Nyumbani kwa pamoja tukishirikiana tunaweza kulifanikisha hili.

Ebu tuondolee hoja za ubinafsi.Watu kama nyie ndo mnaoendeleza fikra za kifisadi.Kwa hoja yako ya kibaguzi ni wazi kabisa kuwa ukiwa kwenye POSITION lazima uweke mbele UBINAFSI.Badilika mwanangu kama si mjukuu wangu
 
Wote kimya kuhusu mzumbe,,,,,,?
nimesoma uzumbeni,nimeishi shabaan robert!LAKINI MTOA MADA ANA DHANA ZA KIBABAISHAJI,NA ZA KIBINAFSI!
............ananikwaza sana kwakweli,natamani nimshushie tusi!''uspesho ndo nin bwana?''mbona upo kawaida sana na kakompyuta sayansi kako?wenzio kibao wako asia,america,europe,ocenia WE UMEKOMAA NA USPESHO!
...........tuondokee bwana
 
nimesoma uzumbeni,nimeishi shabaan robert!LAKINI MTOA MADA ANA DHANA ZA KIBABAISHAJI,NA ZA KIBINAFSI!
............ananikwaza sana kwakweli,natamani nimshushie tusi!''uspesho ndo nin bwana?''mbona upo kawaida sana na kakompyuta sayansi kako?wenzio kibao wako asia,america,europe,ocenia WE UMEKOMAA NA USPESHO!
...........tuondokee bwana

Join Date: Fri Jan 2009
Location: DAR ES SALAAM
Posts: 922
Kwa analysis ndogo tu inaonesha si mtu aliye Serious.Na una muda mwingi wa kubishana na kukaa online kazi kutuma post so utanisamehe mkubwa,sina kamuda hako.


Waswahili walisema asiyejua maana haambiwi maana.
Hii ni mission Impossible so lengo limefanikiwa kwa almost 90% .Thanks wachangiaje na washiriki,mada imefungwa kwani sasa tunaenda kwenye utekelezaji!
 
Last edited:
Huo uspecial unamwonesha nani? Wazumbe tupo wengi hapa ila hatupendi tabia za kujigamba namna hiyo. Inaonesha wewe ni mtoto sana na unatutia aibu mno. Lengo la kuchangia ni zuri ila zana ya kuonesha uspecial ni ya kijinga sana. Hapo ofisini kwako nahisi hutapendwa ukiwa hivyo, kama ni mwanafunzi basi una kazi ya ziada kujifunza namna ya kuishi na jamii huku mtaani. Natumaini wazumbe wataendelea kukusaidia kwa mawazo ya kukujenga maana vinginevyo utachanganyikiwa tu huko uendako.
 
Huo uspecial unamwonesha nani? Wazumbe tupo wengi hapa ila hatupendi tabia za kujigamba namna hiyo. Inaonesha wewe ni mtoto sana na unatutia aibu mno. Lengo la kuchangia ni zuri ila zana ya kuonesha uspecial ni ya kijinga sana. Hapo ofisini kwako nahisi hutapendwa ukiwa hivyo, kama ni mwanafunzi basi una kazi ya ziada kujifunza namna ya kuishi na jamii huku mtaani. Natumaini wazumbe wataendelea kukusaidia kwa mawazo ya kukujenga maana vinginevyo utachanganyikiwa tu huko uendako.
great
 
Huo uspecial unamwonesha nani? Wazumbe tupo wengi hapa ila hatupendi tabia za kujigamba namna hiyo. Inaonesha wewe ni mtoto sana na unatutia aibu mno. Lengo la kuchangia ni zuri ila zana ya kuonesha uspecial ni ya kijinga sana. Hapo ofisini kwako nahisi hutapendwa ukiwa hivyo, kama ni mwanafunzi basi una kazi ya ziada kujifunza namna ya kuishi na jamii huku mtaani. Natumaini wazumbe wataendelea kukusaidia kwa mawazo ya kukujenga maana vinginevyo utachanganyikiwa tu huko uendako.

Nakuunga mkono na mguu kwa hii!!
 
Wakubwa nina uhakika kwamba humu ndani kuna idadi kubwa mno ya wazumbe,Na wengi wao wapo kwenye vitengo muhimu ndani na nje ya nji hee(hehehe).
Sasa nina hii mission,Kwanini tusijiunge pamoja tukasaidia maendeleo ya shule yetu,kuanzia kifedha.kihali na hata kimawazo.Humu ndani kuna watu wa fani tofauti,Kuanzia maprogramer ambao watatutengenezea website,Malawyer wataotupa direction na mamanager watakaotupa mwanga jinsi ya kufanikisha hili.Waalimu watakaokuwa wanajitolea kipindi cha likizo zao kwenda kufundisha.
Kw mfano huku nje vitabu ni bei murua mno,so tunaweza tukawa tunawatumia hardcopy,Pia nina imani kama kila wazumbe kumi tukajichangisha tukanunua computer moja kw idadi ya Vichwa vilivyopitia MAVI tutapata hata computa mia nne na server kadhaa,then baadae tukadownload vitabu kibao na kuwawekea kwenye Library(Electronic),Mimi binafsi nipo tayari Bureee kwenda kuwatengenezea Intranet ambapo vitabu,tutorials na nondo nyingine zote zitakuwa mumo,Hii ni changamoto tu ambayo mimi binafsi nimefikiria,Nina uhakika watu mutakuja na mawazo kibao katika hili,nini tufanye na nini kina utata,Tulio nje na walio Nyumbani kwa pamoja tukishirikiana tunaweza kulifanikisha hili.

Jambo la kuchangia shule na vyuo tulivyosoma ni jambo zuri nalinatakiwa kupigiwa jepuo.Wana wa mzumbe chukueni nafasi hii kuichangia shule yenu.Bravo for this
 
Back
Top Bottom