Kilongwe
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 423
- 115
Wakubwa nina uhakika kwamba humu ndani kuna idadi kubwa mno ya wazumbe,Na wengi wao wapo kwenye vitengo muhimu ndani na nje ya nji hee(hehehe).
Sasa nina hii mission,Kwanini tusijiunge pamoja tukasaidia maendeleo ya shule yetu,kuanzia kifedha.kihali na hata kimawazo.Humu ndani kuna watu wa fani tofauti,Kuanzia maprogramer ambao watatutengenezea website,Malawyer wataotupa direction na mamanager watakaotupa mwanga jinsi ya kufanikisha hili.Waalimu watakaokuwa wanajitolea kipindi cha likizo zao kwenda kufundisha.
Kw mfano huku nje vitabu ni bei murua mno,so tunaweza tukawa tunawatumia hardcopy,Pia nina imani kama kila wazumbe kumi tukajichangisha tukanunua computer moja kw idadi ya Vichwa vilivyopitia MAVI tutapata hata computa mia nne na server kadhaa,then baadae tukadownload vitabu kibao na kuwawekea kwenye Library(Electronic),Mimi binafsi nipo tayari Bureee kwenda kuwatengenezea Intranet ambapo vitabu,tutorials na nondo nyingine zote zitakuwa mumo,Hii ni changamoto tu ambayo mimi binafsi nimefikiria,Nina uhakika watu mutakuja na mawazo kibao katika hili,nini tufanye na nini kina utata,Tulio nje na walio Nyumbani kwa pamoja tukishirikiana tunaweza kulifanikisha hili.
Sasa nina hii mission,Kwanini tusijiunge pamoja tukasaidia maendeleo ya shule yetu,kuanzia kifedha.kihali na hata kimawazo.Humu ndani kuna watu wa fani tofauti,Kuanzia maprogramer ambao watatutengenezea website,Malawyer wataotupa direction na mamanager watakaotupa mwanga jinsi ya kufanikisha hili.Waalimu watakaokuwa wanajitolea kipindi cha likizo zao kwenda kufundisha.
Kw mfano huku nje vitabu ni bei murua mno,so tunaweza tukawa tunawatumia hardcopy,Pia nina imani kama kila wazumbe kumi tukajichangisha tukanunua computer moja kw idadi ya Vichwa vilivyopitia MAVI tutapata hata computa mia nne na server kadhaa,then baadae tukadownload vitabu kibao na kuwawekea kwenye Library(Electronic),Mimi binafsi nipo tayari Bureee kwenda kuwatengenezea Intranet ambapo vitabu,tutorials na nondo nyingine zote zitakuwa mumo,Hii ni changamoto tu ambayo mimi binafsi nimefikiria,Nina uhakika watu mutakuja na mawazo kibao katika hili,nini tufanye na nini kina utata,Tulio nje na walio Nyumbani kwa pamoja tukishirikiana tunaweza kulifanikisha hili.
Last edited: