Changamoto zipi za kununua na kuuza simu used mitaani?

Mzee wa kusawazisha

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
1,587
1,137
Nimewaza hii biashara za kukusanya simu used mitaani na kupeleka vijijini huko nikapige pesa, kwa mfano kuna siku nilinunua simu 1 hapa town 12000 jamaa aliliwa katika kamali akawa hana nauli akauza 12000 kitochi, mimi nikaenda uza 17000sh. Kwa hii trend nikiuza simu 10 kwa siku naweza laza 40-50 asanteni.
 
Kua makini sana na jenga urafiki na polisi,changamoto nyingine sisi tulio nje kidogo ya mji wa dsm,raia wanaturuka wanaenda k.koo.
 
Ogopa simu used kama ukoma labda mtumiaji uwe unamjua kabisa na ni awe mtu hana wenge kwa kichwa
 
Nimewaza hii biashara za kukusanya simu used mitaani na kupeleka vijijini huko nikapige pesa, kwa mfano kuna siku nilinunua simu 1 hapa town 12000 jamaa aliliwa katika kamali akawa hana nauli akauza 12000 kitochi, mimi nikaenda uza 17000sh. Kwa hii trend nikiuza simu 10 kwa siku naweza laza 40-50 asanteni.
Fanya mzee cha msingi muombe Mungu akusimamie sana na pia kua smart usiweke tamaa utaumia ni biashara nzuri.
 
Uwe dalali lakini sio kununuq, za kununua kama zina tatizo unafichwa ukiiuza ndio mtumiaji anakwambia, usipokuwa makini waweza kuitwa tapeli.

Mapolisi na hizi simu wanakamata sana, simu unakuta mtu kapora
 
Nilienda jela mwaka Jana nikatoka kwa million kadhaa ,hizo michezo pia mapongo wanaicheza na mawinga wanakushikisha ng'ora la moto ukijaa wanaishi vizuri na familia zao
 
Back
Top Bottom