baba aura
JF-Expert Member
- Aug 5, 2023
- 231
- 353
Habari wakuu,
Kumekuwa kuna mambo mengi yanayowakumba watu wenye ulemavu wanaotafuta ajira hasa unakuta mlemavu amefanya interview ya written nakufauru vizuri lakini akifika kwenye oral interview huwa wanafeli(ukweli usemwe; wengi huwa wanajibu maswali vizuri tu ila huwa wanachakachuliwa tu.
Ma kuna mengi mengineyo ambayo huwa yanatokea kwa walemavu katika utafutaji wa ajira,COMMENT MAONI YAKO HAPA
Kumekuwa kuna mambo mengi yanayowakumba watu wenye ulemavu wanaotafuta ajira hasa unakuta mlemavu amefanya interview ya written nakufauru vizuri lakini akifika kwenye oral interview huwa wanafeli(ukweli usemwe; wengi huwa wanajibu maswali vizuri tu ila huwa wanachakachuliwa tu.
Ma kuna mengi mengineyo ambayo huwa yanatokea kwa walemavu katika utafutaji wa ajira,COMMENT MAONI YAKO HAPA