Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,882
- 10,193
Naisupport Inter Milan ingawa game ya final ni ngumu sana but Mourirho katengeneza defence ya ukweli game itakuwa na nafasi chache but in presence of Schneider,Zanetti,Maicon,Cesar,Samuel,
Lucio-atakutana na timu yake ya zamani
Milito-huyu jamaa ni mviziaji kwelikweli ananikumbusha Ruud Van Nistelrooy
Msisahau na SAMUEL ETOO yeye kazi yake kufunga kwenye fainali
Lucio-atakutana na timu yake ya zamani
Milito-huyu jamaa ni mviziaji kwelikweli ananikumbusha Ruud Van Nistelrooy
Msisahau na SAMUEL ETOO yeye kazi yake kufunga kwenye fainali