kiruavunjo
Senior Member
- Mar 30, 2011
- 154
- 32
Dogo kaolewa na mama wa miaka 52 dogo ana miaka 21 anasema amempenda kutokana na utajiri alio nao mama huyo na ndo maana akafikiria ugumu wa maisha ya sasa akaona bora niolewe tu, hata kama watu watanidharau na kunibeza hiyo haijalishi nitaolewa tu. Je? Wewe ungependa kumshauri nini dogo? Nini hatma ya maisha yake? Je mama huyu aweza mzalia watoto? Aika mbee aika mkyeku.