BABA JUICE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 426
- 52
Chama cha waigizaji Tanzania kimeandaa utaratibu mpya kwa waigizaji wote nchini. Chama hicho kimeandaa utaratibu kwa kila muigizaji kuwa na kitambulisho cha uigizaji ambacho kinatambulisha kazi yake.
Akizungumzia utaratibu huo mwenyekiti wa taifa chama cha waigizaji Tanzania, Mike Sangu alisema utaratibu huo utaanza mwezi huu. Kila muigizaji atalazimika kutoa shilingi elfu kumi na mbili kwa ajili ya
kupata kitambulisho hicho Kufikia januari program hii itakuwa tayari kwa kila muigizaji Tanzania na waigizaji wote watavitumia vitambulisho hivyo. Mwigizaji yeyote ambaye hatakuwa na kitambulisho hadi kufikia februari atachukuliwa hatua za kisheria. Utaratibu huo utarahisisha kazi ya muigizaji kutokana na kupata usumbufu wakati wa kuigiza, na pia itasaidia muigizaji kujullikana zaidi.
UTARATIBU MPYA KWA WAIGIZAJI…!! | DarTalk.com
MAONI YANGU: Uigizaji ni kama mziki na ni kipaji cha mtu kinachowatofautisha watu,mi naona vitambulisho ni janja ya nyani kufaidisha wachache na kuzui wenye vipaji wasionekane! ingekuwa vizuri huyu jamaa angesisitiza waigizaji wapitie kwenye vyuo vya kuigiza ili wasionekane wanaigiza wakiwa wanaigiza! kwa tanzania tunawatu wachache sana wanaojua kuigiza wengi wao wanapiga makele tu!
Akizungumzia utaratibu huo mwenyekiti wa taifa chama cha waigizaji Tanzania, Mike Sangu alisema utaratibu huo utaanza mwezi huu. Kila muigizaji atalazimika kutoa shilingi elfu kumi na mbili kwa ajili ya
kupata kitambulisho hicho Kufikia januari program hii itakuwa tayari kwa kila muigizaji Tanzania na waigizaji wote watavitumia vitambulisho hivyo. Mwigizaji yeyote ambaye hatakuwa na kitambulisho hadi kufikia februari atachukuliwa hatua za kisheria. Utaratibu huo utarahisisha kazi ya muigizaji kutokana na kupata usumbufu wakati wa kuigiza, na pia itasaidia muigizaji kujullikana zaidi.
UTARATIBU MPYA KWA WAIGIZAJI…!! | DarTalk.com
MAONI YANGU: Uigizaji ni kama mziki na ni kipaji cha mtu kinachowatofautisha watu,mi naona vitambulisho ni janja ya nyani kufaidisha wachache na kuzui wenye vipaji wasionekane! ingekuwa vizuri huyu jamaa angesisitiza waigizaji wapitie kwenye vyuo vya kuigiza ili wasionekane wanaigiza wakiwa wanaigiza! kwa tanzania tunawatu wachache sana wanaojua kuigiza wengi wao wanapiga makele tu!