Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,785
- 218,411
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Chalamila katika kujibu maneno ya wadau yanayopinga kitendo cha viongozi wengi kumtaja Rais kwenye kila jambo, hata kwenye mambo ambayo hahusiki nayo, ameeleza kwamba wao wanamtaja Rais kwa vile ameleta maendeleo, Hawawezi kumtaja Mbowe.
Kwa mawazo ya Chalamila anaamini wanaochalenji kumtajataja Rais kwenye mambo hata ya hovyo ni Chadema, kumbe hajui tu, Watanzania wote wanapinga jambo hilo. Hivi inawezekanaje mtu anusurike kuliwa na Mamba huko Kilosa halafu aseme anamshukuru Rais badala ya kushukuru Mungu aliyemnusuru?
Kwa mawazo ya Chalamila anaamini wanaochalenji kumtajataja Rais kwenye mambo hata ya hovyo ni Chadema, kumbe hajui tu, Watanzania wote wanapinga jambo hilo. Hivi inawezekanaje mtu anusurike kuliwa na Mamba huko Kilosa halafu aseme anamshukuru Rais badala ya kushukuru Mungu aliyemnusuru?