Black Opal
Senior Member
- Jan 22, 2023
- 199
- 253
Wana maakuli kwema?
Moja kwa moja kwenye mada, mazee kila mtu ana msosi anaopenda ambao akiukuta kwenye sherehe mambo yanakuwa byee. Nikianza na mimi, bwana sherehe bila pilau nyama na kachumbari naona kama siku kawaida, ukolezo hapo kwenye pilau nyama, sio pilau kuku au mboga nyingine yoyote!
Nisipokutana na huu msosi kwenye sherehe naona kama wamekosea siku😅😅😅... halafu utamu unaongezeka zaidi ukiliwa wengi kwenye sinia, acha kabisa mpaka mate yameanza kujaa mdomoni😂😂.
Kwenye wazee wa maakuli, chakula gani usipokikuta kwenye sherehe unaona mambo hayajakaa sawa na sherehe haijakamilika?
Moja kwa moja kwenye mada, mazee kila mtu ana msosi anaopenda ambao akiukuta kwenye sherehe mambo yanakuwa byee. Nikianza na mimi, bwana sherehe bila pilau nyama na kachumbari naona kama siku kawaida, ukolezo hapo kwenye pilau nyama, sio pilau kuku au mboga nyingine yoyote!
Nisipokutana na huu msosi kwenye sherehe naona kama wamekosea siku😅😅😅... halafu utamu unaongezeka zaidi ukiliwa wengi kwenye sinia, acha kabisa mpaka mate yameanza kujaa mdomoni😂😂.
Kwenye wazee wa maakuli, chakula gani usipokikuta kwenye sherehe unaona mambo hayajakaa sawa na sherehe haijakamilika?