VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,899
- 580
[video]http://youtu.be/Xep2W2hjHnw[/video]
Tani 50 za chakula cha msaada kutoka serikalini zimechukuliwa na viongozi badala ya kuwagawia watu wasio na uwezo kama ilivyopangwa na serikali,
hii ni kesi ya kawaida sana katika nchi yetu, ikumbukwe kwamba Tsh 48bilioni za stimulate package watu wamezitia mfukoni na mpaka sasa haijulikani kipi ni kipi?
kwa nini watendaji wa serikali wanashiriki kwenye wezi wa waziwazi kama huu?
ni lini serikali itakuwa na mfumo wa kisasa kudhibiti walengwa kudhurumiwa?
mbona katika hii serikali ya nne watendaji wake wote kuanzia nchi mpaka juu wanachota mali za umma bila uoga?
kwa nini watu wanauoga wa kujibinafsishia mali na huduma za umma?
source: habari channel TEN
Tani 50 za chakula cha msaada kutoka serikalini zimechukuliwa na viongozi badala ya kuwagawia watu wasio na uwezo kama ilivyopangwa na serikali,
hii ni kesi ya kawaida sana katika nchi yetu, ikumbukwe kwamba Tsh 48bilioni za stimulate package watu wamezitia mfukoni na mpaka sasa haijulikani kipi ni kipi?
kwa nini watendaji wa serikali wanashiriki kwenye wezi wa waziwazi kama huu?
ni lini serikali itakuwa na mfumo wa kisasa kudhibiti walengwa kudhurumiwa?
mbona katika hii serikali ya nne watendaji wake wote kuanzia nchi mpaka juu wanachota mali za umma bila uoga?
kwa nini watu wanauoga wa kujibinafsishia mali na huduma za umma?
source: habari channel TEN