Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,398
- 2,990
"Atamsaidia Rais kufuatilia Utekelezaji wa Siku hata Siku na hata Mambo ya Muungano "
Vyema kabisa, unapomsaidia Mkuu wako wa Kazi, unatakiwa umpe ripoti. Yeye ndio ataiwasilisha kwa Waliomuajiri, ambapo kwa Rais, Waajiri wake ni sisi wananchi.
Hivyo VP akitumwa kazi na Rais, anatakiwa ampe breafing Rais, na Rais atatuhutubia Sisi. Hiyo ndio Chain Of Command ambayo Dr Mpango hajaijua.
Mwalimu Nyerere aliwahi kufafanua vizuri tofauti ya ujinga na upumbavu kama ifuatavyo:
Naye Professor Kabudi akaja kutoa ufafanuzi unaoshahibiana na ule alioutoa Mwalimu Nyerere (huku akiuongezea nyama huo ufafanuzi) kama ifuatavyo: