Wadau nawakariibisha sana wakati huu tujumuike pamoja katika kuchafua jina lakini in the other hand unajenga afya. Mimi hapa nachafua jina kwa ugali na mlenda plus mtindi. Karibuni sana, sharti mojawapo unatakiwa usiwe na aibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.