Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,079
- 8,219
Hii ndio idadi ya watu waliohudhuria katika tukio la kutangaza nia kwa Ndg. Daniel Lumenyela wa CDM, anayetangaza nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Kigoma mjini kupitia chama hicho ambacho hapo zamani kilikuwa kinakusanya watu lukuki kwenye mikutano yake.
Kwa kweli hiki chama kwa sasa kinadondoka kwa kasi kubwa sana, hata mahudhurio ya watu kwenye mikutano yake yamekuwa ni duni na hafifu.
Kwa kweli hiki chama kwa sasa kinadondoka kwa kasi kubwa sana, hata mahudhurio ya watu kwenye mikutano yake yamekuwa ni duni na hafifu.