Nachukizwa sana na uandishi wa aina hii katika sehemu nilizokuwekea RED, kumbuka hapa hatupo katika kitendawili tega.Kwa kuongezea tu, baba Riz1 itapendeza sana kama walau mara moja kwa mwezi mkakutana na watu wenye mawazo ya kujenga ambao hawaogopi kukuambia ukweli pale unapokosea ili kujenga taifa lao kuliko kuwasikiliza hao wanaokulisha pumba na kasa kila uchao, ili wajaze matumbo yao kama Anna M. Ondoa washauri wasiojielewa kama MKPP, mawaziri wasio na msaada kama WN, Mp, Maig n.k. Watanzania milioni 40 ni mtaji tosha kwako achana na ushauri wa wachumia tumbo.
I like your signatureCCM wataendelea kutia akili na wataamkakaribia 2015 na hapo watakuwa too late .Chadema onyesheni Utanzania na kwa ninimnaitwa Chadema na mie ninawafagilia sananyie watu .
Watanzania wenzangu! mimi nimsomaji tu humu na sijawahi kuchangia sana ila naomba na mimi kwa hili niingie kwenye historia ya wawakilishi wachache wataopata fursa ya kupongeza viongozi wetu makini waliofanikisha marekebisho haya kupita kwa ajili tu ya masilahi ya Watanzania..
Kwanza kabisa napenda kwa dhati kumshukuru na kumpongeza RAIS wetu J M Kikwete kwa ujasiri na pengine moyo wa usaliti aliouonyesha kwa chama chake na kuweka maslahi na uzalendo mbele kuridhia mawazo na mapendekezo yaliyowasilishwa kweke na CHADEMA. Ni ukomavu wa hali ya juu sana katika ulimwengu wa waliostaarabika.
Ni dhahiri siasa za dunia ya tatu ni tete mbovu hasa kwenye masuala ya msingi kitaifa kama hili. Ni historia Rais na utaishi na raha hiyo milelePili Nachukua fursa hii kuwapongeza CHADEMA NA WANA CHADEMA kwa kazi nzuri inayofanywa kuinua taifa letu changa linaloelekea kupotoshwa na kuyumbishwa na walafi wachache!
Ni hatua ya hali ya juu iliyotukuka inayokifanya CHADEMA kuimarika kila kukicha pale inapokumbatia Utaifa na uzalendo wa kweli kwa kila wazo au jambo linalofanywa. Nawapongeza sana na ninawahakikishia historia itachukua mkondo wake pale muda utakapotimia.MUNGU IBARIKI TANZANIA.[
YOTE YAWEZEKANA UKITAKULIZA TAFAKARI KABLA YA KUTENDA,WALIOZOMEA SASA WAMETAMBUA FAIDA YA KUELEWA JAMBO KABLA YA KULICHANGIA.UKIWA KIONGOZI FANYA KAZI ULOTUMWA NA UNAOWAONGOZA NDO MSINGI WA WALIOKUCHAGUA.
VIVA CHADEMA,WAJF NA WATANZANIA KWA UVUMILIVU WAO.
Wenye akili za kuona karibu wanaweza kukubaliana na mawazo finyu kama ya kwako yenye ushabiki tu
na siyo analysis.
Watanzania wanajua sana kwamba, analysis kama hizo ni za kivuvuzela tu na lengo lake ni ili baadaye wapite mitaani kwamba wao ndiyo chimbuko la kisiasa. Nashukuru kwamba umetambua mawazo ya watu walichangia kupita kwa muswada wa katiba kuwa ni Pamoja na ROJEPH WARYOBA, SALIM AHAMED SALIMU ila ukaharibu kwa kuchomekea mavuvuzela eti kisa walitoka nje ya ukumbi wa bunge, kuzunguka nchini kuwashawishi wananchi wasijihusishe na shughuli za maendeleo huku ukidanganya kwa walikuwa wanatoa elimu ya uraia. Ndugu hukumbuki kilichotokea katika jimbo la Engineer STELAA MANYANYA? huko kulikuwa ni kutoa elimu ya uraia kuhusu katiba mpya?
Wasomi wote na watanzania wenye mapenzi mema na nchi yao hawatawasahau akina Prof. ISSA SHIVJI, MWAITAMA, JENERALI ULIMWENGU na wengine wengi. Nakumbuka siku moja katika kongamano la katiba mpya pale UDSM, Tindu Lissu aliumbuliwa na Prof. Shivji kwa jinsi alivyokuwa akichangia kisiasa siasa tu leo nae unamtaka kwenye list yako ya mavuvuzela. Nakumbuka ambavyo wasomi walisimama kidete kuhakikisha Wanasiasa wasiteke mjadala wa Katiba mpya, leo unanitajia mzee wa Bilkana kama mwasisi na Baba Josephine Mshumbuzi. Kweli watanzania tumelala. Umeshindwa angalau kumtaka Mabere Marando? Pole.
kinachokusumbua wewe si ushabiki tu, bali ni kukosa umakini hasa unapokuwa kwenye siku zakoWenye akili za kuona karibu wanaweza kukubaliana na mawazo finyu kama ya kwako yenye ushabiki tu na siyo analysis.
Watanzania wanajua sana kwamba, analysis kama hizo ni za kivuvuzela tu na lengo lake ni ili baadaye wapite mitaani kwamba wao ndiyo chimbuko la kisiasa. Nashukuru kwamba umetambua mawazo ya watu walichangia kupita kwa muswada wa katiba kuwa ni Pamoja na ROJEPH WARYOBA, SALIM AHAMED SALIMU ila ukaharibu kwa kuchomekea mavuvuzela eti kisa walitoka nje ya ukumbi wa bunge, kuzunguka nchini kuwashawishi wananchi wasijihusishe na shughuli za maendeleo huku ukidanganya kwa walikuwa wanatoa elimu ya uraia. Ndugu hukumbuki kilichotokea katika jimbo la Engineer STELAA MANYANYA? huko kulikuwa ni kutoa elimu ya uraia kuhusu katiba mpya?
Wasomi wote na watanzania wenye mapenzi mema na nchi yao hawatawasahau akina Prof. ISSA SHIVJI, MWAITAMA, JENERALI ULIMWENGU na wengine wengi. Nakumbuka siku moja katika kongamano la katiba mpya pale UDSM, Tindu Lissu aliumbuliwa na Prof. Shivji kwa jinsi alivyokuwa akichangia kisiasa siasa tu leo nae unamtaka kwenye list yako ya mavuvuzela. Nakumbuka ambavyo wasomi walisimama kidete kuhakikisha Wanasiasa wasiteke mjadala wa Katiba mpya, leo unanitajia mzee wa Bilkana kama mwasisi na Baba Josephine Mshumbuzi. Kweli watanzania tumelala. Umeshindwa angalau kumtaka Mabere Marando? Pole.
Pamoja na wabunge wote wa CHADEMA na wananchi walalahoi wa Tanzania walioamua bila kujali vitisho kuungana na wabunge wazalendo toka CHADEMA, naomba kwa namna ya peke kabisa kuwashukuru wananchi wa Singida Mashariki kwa kutuletea Lissu bungeni.
Kwa mara ya kwanza watanzania tumeona kwa vitendo nini maana ya kusimamia hoja. Hata CCM waliotumia bunge lililopita kumtukana Lissu "personally wamekubali kuwa Lissu ana uwezo mkubwa wa kuchambua sheria.
Anasoma neno kwa neno, anatoa tafsiri pana na madhara/faida zake. Hii ndio kazi ya mbunge kama mwakilishi wa wananchi katika chombo cha kutunga sheria.
Wale waliokimbilia kwenye vyombo vya habari wakisema kuwa Lissu alikuwa anajidai anajua sheria na kwamba eti wao wanao watu waliobobea kwenye sheria wanasemaje?
Tuombe uzima na ulinzi wa mwenyezi mungu maana bunge la bajeti mwezi June/July laweza kuwa kivutio tosha!
Lissu mungu akulinde.
watu mliopo field ya computer typing tabu tupu kila muda mnaandika hata yasiyoeleweka
naomba nimpongeze JK, kwa kuwa ndo mtu pekee kukubali mabadiliko wengine woote siwapongezi sababu bado tunakazi ngumu na tupo upande mmoja!