Said Bagaile
JF-Expert Member
- Jun 23, 2011
- 686
- 256
Hakika Mbeya ni ngome kuu ya CDM kwa sasa
Wapi Papaa Kitambala!
Hakika Mbeya ni ngome kuu ya CDM kwa sasa
juzi nilikuwepo hapo Dar niliona mlivyo busy na CUF hadi mkafunga barabara
walio sema CDM ni chama cha watu wa Kaskazini waseme sasa je huku ni kaskazini
Lakini hii propaganda imesha kufa tunasubiri nyingine
HONGERA SANA CHADEMA wakuu kumbukeni kuwa huku ni kwa Shitambala
ngoja waendelee kufa taratibu kufikia 2015 watakuwawameshakufa kabisaaa. Mbeya hakuna mchezo chama kimejipanga sawasawa kuanzia ngazi ya kata kina viongozi wa idara zote sasa tunaelekea ngazi ya shina lengo ni kuwa na "mabalozi au wajumbe wa kila nyuma 10"Mkuu hizo zilikuwa ni kauli za wafa maji.
Mkuu unayemwambia ni mpambanaji mwenzako.
Hakika Mbeya ni ngome kuu ya CDM kwa sasa
Yale magari manne ya maji ya ***** na hao policcm mliowatoa Dodoma, Singida, Dar n.k, hawatoshi. Ombeni na msaada wa jeshi la Rwanda, Burundi, na lile la .... muongeze na vifaru vya WW II, bado mtabwagwa tu. Magamba!!!!Ni ushindi mkubwa sana huu kwa magwanda na wanahitaji kila pongezi, Mwenyekiti wa kijiji ni mtu muhimu sana. Hongera CHADEMA.
Ngoja tuone Arumeru, mtaweza?
shida bado iko kyela na rungwe tu.....which is surprising kwani kila mtu angetegemea ndiko kuwe chimbuko la mabadiliko!
Mkiambiwa wafuasi wa magamba ni malumpen mnaona mmetukanwa,wakati wenzenu wanakwenda shule nyie mlikua wapi?nani kakuambia Ndola ipo Malawi?rudi darasani mkuu!hata kufuta ujinga kidogo itatosha
Nimeongea na Difas Mwakisale kanithibitishia kuwa ni kweli tena kasema karibu vitongoji vyote vya kata ya Nsalala vinashikiliwa na CDM. Inasemekana Polisi CCM walitinga Mbalizi wakati wa uchaguzi kuwatisha wananchi wasiitumie demokrasia yao vizuri. Sasa naamini kuwa Shitambala aliuza kura za wananchi wa Mbeya vijijini kwa magamba.com, haiwezekani chama kilichojikita hadi kwenye vitongoji kikose ubunge kirahisiWANANCHI wa Kijiji cha Ndola, Kata ya Nsalala wilaya ya Mbeya Vijijini, wamekikataa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kutomchagua mwenyekiti wa kijiji hicho aliyesimamishwa na chama hicho.
Hali hiyo ilijidhihirisha juzi wakati wa uchaguzi wa viongozi wa kijiji hicho ambapo mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Difasi Mwakisale, alitangazwa kuwa mshindi wa nafasi hiyo.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo, msimamizi msaidizi wa uchaguzi huo, Malongo Sumuni, ambaye pia ni Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Mbalizi, alisema kuwa Mwakisale alipata kura 513 dhidi ya mgombea mwenzake wa CCM Gilbert Mwanjela ambaye alipata kura 292.
Awali uchaguzi ulipofanyika Desemba 11 mwaka jana, Mwakisale alipata kura 405 na Mwanjela alipata kura 288, hivyo serikali ikapata kigugumizi kumtangaza na kuitisha uchaguzi upya ambao umefanyika baada ya wananchi hao kutishia kuandamana.
Wakizungumza na Tanzania Daima, wananchi wa Kijiji cha Ndola walisema kuwa uchaguzi huo ulifanyika kutokana na kugawika kwa Kata ya Utengule Usongwe baada ya serikali kuongeza kata katika wilaya hiyo.
Walisema katika uchaguzi huo wagombea wote kutoka CHADEMA walishinda katika nafasi zao ambapo ilimlazimu msimamizi msaidizi wa uchaguzi huo ambaye ni Kaimu Ofisa Mtendaji wa kata hiyo, John Mwanampasi, kukataa kumtangaza mgombea wa nafasi ya uenyekiti kutoka chama hicho.
Source:Tanzania Daima
Nimeongea na Difas Mwakisale kanithibitishia kuwa ni kweli tena kasema karibu vitongoji vyote vya kata ya Nsalala vinashikiliwa na CDM. Inasemekana Polisi CCM walitinga Mbalizi wakati wa uchaguzi kuwatisha wananchi wasiitumie demokrasia yao vizuri. Sasa naamini kuwa Shitambala aliuza kura za wananchi wa Mbeya vijijini kwa magamba.com, haiwezekani chama kilichojikita hadi kwenye vitongoji kikose ubunge kirahisi
Mbeya ni turning point ya political revolution kwa sasa hapa TZ. Mungu awe nanyi daima.
Inawezekana wewe hujaelewa kabisa, LAT amefanya kuchombeza tu, ila namini wewe unadhani inaongelewa Ndola ya Zambia.
Mbeya kuna vijiji viwili vinaitwa Ndola, kimoja Mbeya vijijini na kingine kipo Tukuyu maeneo ya Katusyo ukiwa unaelekea Masoko na Mbambo.
safi sana mbeya c jui Dar tumekunywa maji ya bendera?
Mkuu unayemwambia ni mpambanaji mwenzako.