Gashongoile
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 487
- 145
Wenye itikadi kamwe mmoja hawezi kuajiri kikundi cha watu kumdhuru mwingine. Kumshushia credibility, uaminifu wake kwa mambo ya kutunga. Slaa itikadi yake sio iliyokatika makaratasi ya chadema ambayo zito ndio anasimamia itikadi hiyo. Zitto amekuwa mtu wa busara na asiemnafiki. Umesahau kuwa slaa amemuunga mkono kagame dhidi ya nchi?
Umesahau jinsi anavyopinga kila jambo linaloanzishwa au kufanywa na ccm hata ikitokea nila muhimu kiasi gani kwa taifa?
Nani kakwambia Zitto na Dr Slaa ni maadui? Kama huna hoja ya kuchangia kaa kimya au kanywe kiroba original ulale. Zitto mwenyewe kashasema hana tatizo lolote na Slaa nyie CCM inawwauma nini? Nenda hospitali kapime yawezekana malalia imekupanda kicchwani au una kipandauso.