Kutokana na mvutano unaoendelea ndani ya Chama cha demokrasia na maendeleo na CHADEMA imesababisha Chama hicho kusambaratika na kupoteza mvuto mkoani Kigoma.
Sababu hasa inaonekana ni kutengwa kwa kijana wao Zitto Kabwe ndani ya chama hicho, na hata tetesi zinazoongelewa katika vijiwe vya siasa mkoani Kigoma, aliye kuwa mgombea wa chama cha CHADEMA Mwaka 2010 Ally Mlee akakihama Chama muda wowote kuanzia sasa.
Hali ni mbaya mkoani hapa, kila kijiwe kinaongelea ubaguzi ndani ya chama hicho.
Sababu hasa inaonekana ni kutengwa kwa kijana wao Zitto Kabwe ndani ya chama hicho, na hata tetesi zinazoongelewa katika vijiwe vya siasa mkoani Kigoma, aliye kuwa mgombea wa chama cha CHADEMA Mwaka 2010 Ally Mlee akakihama Chama muda wowote kuanzia sasa.
Hali ni mbaya mkoani hapa, kila kijiwe kinaongelea ubaguzi ndani ya chama hicho.