Chama cha Democrasia na Maendeleo chadema kimeanza kupoteza mvuto katika mkoa wa kigoma hii ni kutokana na chama hicho kutokuwa wanaongelea matatizo ya mkoa huo bungeni.
Huku wakijikita hasa na mikoa ya kaskazini, pia na kuwatuhumu viongozi wa kitaifa hasa wanaotoka mkoa huo kuonekana kuwa ni mapandikizi, mbali na Zitto pia wanakumbushia Dr Walid Aman Kabourou ambaye ndie aliyeieneza cdm mkoani humo aliitwa pandikizi na viongozi wenzake hasa pale alipotishia kutaka uenyekiti wa chama hicho, hapo ndipo zinapoanza propaganda chafu, kwa hiyo sasa wameamua kutafuta chama chochote si ccm wakiunge mkono.
Ndio maana hata kura za urais mgombea wa CHADEMA alipata kura chache sana na kuambulia jimbo 1, kwa hiyo uchaguzi ujao kulibakisha jimbo hilo itakuwa ndoto.
Mtoaji wa habari ni mkazi na mzaliwa wa kigoma.
Huku wakijikita hasa na mikoa ya kaskazini, pia na kuwatuhumu viongozi wa kitaifa hasa wanaotoka mkoa huo kuonekana kuwa ni mapandikizi, mbali na Zitto pia wanakumbushia Dr Walid Aman Kabourou ambaye ndie aliyeieneza cdm mkoani humo aliitwa pandikizi na viongozi wenzake hasa pale alipotishia kutaka uenyekiti wa chama hicho, hapo ndipo zinapoanza propaganda chafu, kwa hiyo sasa wameamua kutafuta chama chochote si ccm wakiunge mkono.
Ndio maana hata kura za urais mgombea wa CHADEMA alipata kura chache sana na kuambulia jimbo 1, kwa hiyo uchaguzi ujao kulibakisha jimbo hilo itakuwa ndoto.
Mtoaji wa habari ni mkazi na mzaliwa wa kigoma.