Ni safari ya uzinduzi wa matawi,ndiyo imeanza,ngome ya Mwakyembe ndio inateketetea,matawi manne yatafunguliwa,
kyela hakuna maandamano kuna mikutano kama mi4,hapa tulipo ni Kapwili,wanachama wanarudisha kadi za ccm.Sijakuelewa. Unaropoti kuhusu maandamano leo Kyela au unatuarifu Chadema wamefungua matawi Kyela?
Msisahau kufungua tawi Ipinda
Ha ha ha! Safi sana, hiyo itaitwa OPOMAKIZO, POMAKIZO au POMAZO?!Asante CDM kuamsha watanzania; this time kila anayetaka kuwa kiongozi lazima apime kama anaubavu wa kutatua matatizo ya wana nchi. Hivi jamani naomba kuuliza ukihamasisha watu kuwa kataa wabunge wote waliochakachua kwa mtindo kama ule wa Muleba ni uhaini? Naona hii strategy itasaidia kupunguza hizi siasa sanii za chama cha magamba. Maana tume ya uchaguzi wameichakachua, katiba sijui kama watatupa mpya so kama hawataki sheria ichukue mkondo kwa upande wao na sisi tukiamua kuipindisha kwa namna hii si itakuwa ngoma droo? Mpaka kila mtu akubali kuongozwa na sheria. Nifahamisheni fasta ili nianze mpango mzima wa uharakati wa kuongoza operation 'popoa mawe na kisha zomea' wabunge wote ambao hawawakilishi mawazo ya wana nchi!
Nakereka sana na hao wanaorudisha kadi,hawana uchungu nazo maana wanajua hawakuzinunua na watapewa tu zingine uchaguzi ukifika,Cha muhimu ni kuonyesha uso wako kuwa unachukia ufisadi basi.
sasa ndiko tuko hapa ,umati ni wa kutosha,.kuna bango limeandikwa Ametudanganya vya kutoshaMsisahau kufungua tawi Ipinda
sasa ndiko tuko hapa ,umati ni wa kutosha,.kuna bango limeandikwa Ametudanganya vya kutosha
kuna ofisi inabidi ifunguliwe,kwenye kata ya ntembela,kwa ajili ya muda,sugu kaahidi kuboresha ofisi hiyo,Mmeshafungua tawi Ipinda?
Ni safari ya uzinduzi wa matawi,ndiyo imeanza,ngome ya Mwakyembe ndio inateketetea,matawi manne yatafunguliwa,