- Thread starter
- #21
ipinda kadi 23 za ccm zinarudishwa hadharani,kumbuka wengine wanaogopa hadharani,Kamanda, nawatakia kazi njema yenye mafanikio tele...
ipinda kadi 23 za ccm zinarudishwa hadharani,kumbuka wengine wanaogopa hadharani,Kamanda, nawatakia kazi njema yenye mafanikio tele...
ipinda kadi 23 za ccm zinarudishwa hadharani,kumbuka wengine wanaogopa hadharani,
Sasa tuko tawi la lilopewa jina Edwin Mtei,mahali panaitwa itunge,kadi za ccm 34,zinarudishwa
ndio nyumbani nini?ikolo ndio nyumbani kwao,nako kazomewamijitu mingine mibishi loh! We unajua siasa za kyela kuliko wanakyl wenyewe? Hivi unawachukuliaje? Ikolo kazomewa, kaenda Boda nako amezomea, nini unachokitaka?
<br />Leo nimejua kirefu cha UVCCM,Kuna bango limeandikwa kirefu chake ni Umoja Wa Virusi Chanzo Chake Mafisadi,hapa huku kijijini kweli Ccm chali,
Vita ndiyo imeshaanza hadi nduli ang'oke!Jumla ya kadi za ccm zilizorudishwa kwa leo ni 721,wandugu nikitulia ntawajulisha ambayo ckuyatarajia kyela
Sasa tuko tawi la lilopewa jina Edwin Mtei,mahali panaitwa itunge,kadi za ccm 34,zinarudishwa
Kweli Jf kiboko,tulikuwa wote hapa lakini hatuonani,mbombo ngafu,Here are some photos from Kyela!
mkuu ndiyo home nini?