johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,023
Hii ndio Chadema
Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika amesema Serikali inatakiwa ieleze ndani ya Bunge na Nje imejipangaje kukabiliana na baa la njaa linalokuja na bei kali za bidhaa zinazoongezea wananchi ugumu wa maisha
Aidha Mnyika aliwataka polisi wamtajie kifungu cha Sheria kinachomzuia asitekeleze majukumu yake ya kikatiba mjini Morogoro.
Source ITV Habari
My take: Chadema Morogoro Mmetisha Devotha Minja na Malisa Big up
Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika amesema Serikali inatakiwa ieleze ndani ya Bunge na Nje imejipangaje kukabiliana na baa la njaa linalokuja na bei kali za bidhaa zinazoongezea wananchi ugumu wa maisha
Aidha Mnyika aliwataka polisi wamtajie kifungu cha Sheria kinachomzuia asitekeleze majukumu yake ya kikatiba mjini Morogoro.
Source ITV Habari
My take: Chadema Morogoro Mmetisha Devotha Minja na Malisa Big up