nickname
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 544
- 147
Tanzania sasa mambo yanakwenda kombo viongozi wanahaha kunusuru na wengine nahisi wanajuta kwanini walichaguliwa kuwa viongozi.Kuna masuala mengi yanayowaumiza vichwa mara DOWANS,madai ya Katiba mpya,Mauaji ya raia wasioa na hatia Arusha na Mbeya,Umeya wa Arusha,migomo ya vyuo vikuu,migomo ya wafanyakazi na mambo mengi kadha wa kadha.
Wanajaribu kusuluhisha na wengine wameshasema wazi kuwa CHADEMA wanahusika na hali hiyo inayojitokeza.Yaani kila viongozi wakikwama kusuluhisha migogoro utawasikia waropokaji na wanazi wa chama tawala kuwa CHADEMA ndio wanahusika.Jamani hii ni kweli?
My Take : Mimi naona kuwa viongozi waliochaguliwa kuongoza nchi hii kazi imewashinda na wanatafuta mchawi.Walianza na Samuel Sitta wakaja kwa Tido Mhando na sasa baada ya maji kuwafika shingoni kila kitu wanawasingizia CHADEMA.Kama CCM na serikali yake wangeifanyia mema nchi hii na wananchi wake leo hii nchi hii kusingekuwa na shida zote hizi
Wanajaribu kusuluhisha na wengine wameshasema wazi kuwa CHADEMA wanahusika na hali hiyo inayojitokeza.Yaani kila viongozi wakikwama kusuluhisha migogoro utawasikia waropokaji na wanazi wa chama tawala kuwa CHADEMA ndio wanahusika.Jamani hii ni kweli?
My Take : Mimi naona kuwa viongozi waliochaguliwa kuongoza nchi hii kazi imewashinda na wanatafuta mchawi.Walianza na Samuel Sitta wakaja kwa Tido Mhando na sasa baada ya maji kuwafika shingoni kila kitu wanawasingizia CHADEMA.Kama CCM na serikali yake wangeifanyia mema nchi hii na wananchi wake leo hii nchi hii kusingekuwa na shida zote hizi