Nimekuwa nikijiuliza kwamba, kufuatia Dr. Slaa kutopiga kampeni zake za Urais wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu octoba mwaka jana; Je ni nini mtazamo wa Chadema kuhusu Muungano? Ndugu wanajamii naomba mawazo yenu.
minors have no effect hata JK anajua hiliNimesha ilekebisha wakuu
Nimesha ilekebisha wakuu
mkuu nakumbuka cdm na Dr Slaa walienda kukampeny zanzibar tena ni baada ya kutoka Mbeya sasa sijui wewe unamaanisha nini!?Nimekuwa nikijiuliza kwamba, kufuatia Dr. Slaa kutopiga kampeni zake za Urais visiwani Zanzibar wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu octoba mwaka jana; Je ni nini mtazamo wa Chadema kuhusu Muungano? Ndugu wanajamii naomba mawazo yenu.
Nimekuwa nikijiuliza kwamba, kufuatia Dr. Slaa kutopiga kampeni zake za Urais visiwani Zanzibar wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu octoba mwaka jana; Je ni nini mtazamo wa Chadema kuhusu Muungano? Ndugu wanajamii naomba mawazo yenu.
mkuu nakumbuka cdm na Dr Slaa walienda kukampeny zanzibar tena ni baada ya kutoka Mbeya sasa sijui wewe unamaanisha nini!?