CHADEMA: What on earth is this?

Mtoto, Mimi si mwanachama wa Chadema, lakini naona huenda CHADEMA kikawa ndio tegemeo la Watanzania. Ndio maana ningependa kuona Chadema ikiwa na clarity ya hali ya juu.

Wako Watanzania wengi nje na ndani ya nchi ambao wanadhani CHADEMA ndio inapashwa kuchaguliwa kungoza nchi kuanzia 2010. Wanataka waone umakini unaoonyeshwa na viongozi wa CHADEMA unaonekana hata kwenye tovuti yao.

In a way, you are what you write.

Naam, Watanzania wengi walitegemea kwamba huenda CHADEMA kitatoa changamoto inayostahili kwa Chama cha Mapinduzi, kumbe wapi! Tatizo ni kwamba viongozi hawana mshikamano unaotakiwa. Mbowe ni Mwenyekiti anayesikika kwenye chaguzi zaidi kuliko kwenye kukijenga na kukiimarisha Chama chake. Viongozi wengine kila mmoja anaonekana kutafuta umaarufu binafsi.

Yuko wapi Tundu Lissu? Hasikiki sana siku hizi. Zitto ambaye alikuwa ndio tunategemea ataendelea kugombea ubunge na wakati huo huo kujifunza kuwa kiongozi shupavu kwa kukosea na kujisahihisha, tumeambiwa hataki kugombea tena ubunge. Hata Mbowe naye aliondoka mapema mno kwenye siasa za Ubunge na kutaka kuwa Mwenyekiti wa Chama. Angeliwaachia wale wazee - Mzee Makani na Mzee Mtei waendelee kushika wadhifa wa Mwenyekiti na wakati huo huo wakawa washauri wakuu kwa kuwa wazee hao ni watu makini na siasa za nchi hii wanazielewa vizuri sana.

Mjadala wa 'mrengo na mirengo' unafurahisha! Hivi kweli tunaweza kuiletea Tanzania maendeleo kwa kuiga mambo ya mirengo ya kushoto, kulia na kati? Bado tunahitaji kuendesha siasa za nchi yetu kwa kuzingatia hali halisi. Kama walivyosema baadhi humu, utaenda kwa 'wananchi wa kawaida' wa vijijini hata mijini ukawaambia chama changu kinafuata siasa/itikadi ya 'mrengo wa kati' nani atakuelewa. Ukija na maelezo kwamba kuna Liberals and Conservatives etc etc pia sie akina Bibi Ntilie wauza pilau na maandazi mjini tutatoka kapa na kura zetu hutapata!

Wenye kuponda waendelee, lakini wahenga waliokuwa na 'fikra sahihi' walipotamka "Tutafuata/tunafuata Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea' ilikuwa "simpo" sana kuielezea kwa wananchi wa kawaida wakaelewa. Utata uliokuwepo na utaendelea kuwepo ni kwenye utekelezaji. Mpaka pale Watanzania tutakapoona mwanga na kuamua kuondoa 'fikra za kifisadi' za katika vichwa vyetu.

Zidumu Fikra Sahihi! Enyi waungwana, msikasirike!
 
Let me play Devil's advocate here, and please correct me if you think I might be wrong. First of all, it is imperative to understand that we are only talking about a note posted on Chadema's website , and not Chadema's mission statement--reasons for existence.

The question that any seasoned statistician/politician would ask himself/herself is-- to whom this message is intended? (targeted audience). The answer is simple Tanzania's youth (their internet savviness is undoubtedly superior compared to other age groups). The last question should be, which language will appeal more to this niche. It is only after answering questions consecutively; one would be in a position to criticize/ commend Chadema's decision.
 
Let me play Devil's advocate here, and please correct me if you think I might be wrong. First of all, it is imperative to understand that we are only talking about a note posted on Chadema's website , and not Chadema's mission statement--reasons for existence.

The question that any seasoned statistician/politician would ask himself/herself is-- to whom this message is intended? (targeted audience). The answer is simple Tanzania's youth (their internet savviness is undoubtedly superior compared to other age groups). The last question should be, which language will appeal more to this niche. It is only after answering questions consecutively; one would be in a position to criticize/ commend Chadema's decision.

You are essentially posing a question of principle vs. the negative aspects of propaganda and tact. To me the text is oversensationalized without being given meaning by qualified specificity, a plight visited before through the once firebrand -and now fizzled out- oratory of the Mtikilas and Mremas of our opposition. We are anti ufisadi as well but we long for informed and informing content that will arrest the intellect and not merely mobilize the seat of feeling.

I am very wary of those who want to capture feelings without engaging the intellect.Even the Rwandan genocide perpetrators and Third Reich used passionate oratory, we need to see more than that.The said internet savvy young people are not to be taken for granted in such a way that all CHADEMA has to do is shout "mafisadi, kill them!" and all youngsters will jump in their bandwagon. We need to see leadership, not reactionary rhetoric, however passionate and tempting.
 
Hayo mambo ya mrengo wa kati sijui nini CHADEMA wametoa kutoka kwa wafadhili wao. Ugonjwa wa misaada ni balaa, unazuiwa hata kufikiria.
Unaweka misimamo na maneno wafadhili wako wanayoyataka!!!

Issue ya Maendeleo Tanzania sio miaka hii tusubiri kizazi kingine... viongozi wanayoibabe CHADEMA ambao hawazidi 20, wako busy kutafuta majina ya kutokea wenywe... who care alichoandika mnyika kwenye website.

Wenzetu CCM wana-control kinachoandikwa kwenye site yao... ninyi mnakurupuka tu!
 
Naamini wengi tunatoa masahihisho haya kwa sababu tunakipenda CHADEMA na tunakitegemea. CHADEMA, tuko nanyi. Pangeni mipango ya kuikomboa nchi toka kwenye ufisadi wa CCM. Uchaguzi wa mwaka kesho ulete mabadiliko, CHADEMA ishirikiane na viongozi wengine iiweke CCM upinzani.
 

flag3.gif

http://www.chadema.net/

takribani mwaka mmoja sasa website ya CHADEMA haijawa updated na hivyo kutufanya tushindwe kupata habari mpya za chama hiki, inaonekana wahusika hawaoni umuhimu wa kuwa karibu na wanachama wake

 
Huo ndiyo mfano unaonesha hata kama wakipewa nchi watakuwa hawana tofauti yoyote na CCM. Kama hawawezi kuwajibika ndani ya website yao; je wataweza kuongoza nchi?
 

flag3.gif

http://www.chadema.net/

takribani mwaka mmoja sasa website ya CHADEMA haijawa updated na hivyo kutufanya tushindwe kupata habari mpya za chama hiki, inaonekana wahusika hawaoni umuhimu wa kuwa karibu na wanachama wake


Tunasubiri mwakani (2010) tutaanza ku-update, stay tuned. We hushangai Tanzania Daima online linaweza kukaa cku 3-hadi wiki halijawa updated ???

Tena afadhali chadema wanayo website, hao wanaoitwa chama mbadala wa ccm ndio hawana kabisaaa, gazeti lao litokalo kila wiki (fahamu) linajikongoja. Sisi tulio vijijini unaweza kukata wiki 2 hujaliona vendors wanakwambia hawajaletewa.

Mambo mengine bana mhh??? Najiuliza hizo zinazoitwa kurugenzi/Idara za uenezi na propaganda zinafanya kazi gani ktk vyama???

Sera hazitangazwi wakati wa uchaguzi; lakini vyama vyetu vya upinzani vinasubiri uchaguzi ndio vitangaze sera zao na mikakati yao!!!! :confused:
 
Tunasubiri mwakani (2010) tutaanza ku-update, stay tuned. We hushangai Tanzania Daima online linaweza kukaa cku 3-hadi wiki halijawa updated ???

Tena afadhali chadema wanayo website, hao wanaoitwa chama mbadala wa ccm ndio hawana kabisaaa, gazeti lao litokalo kila wiki (fahamu) linajikongoja. Sisi tulio vijijini unaweza kukata wiki 2 hujaliona vendors wanakwambia hawajaletewa.

Mambo mengine bana mhh??? Najiuliza hizo zinazoitwa kurugenzi/Idara za uenezi na propaganda zinafanya kazi gani ktk vyama???

Sera hazitangazwi wakati wa uchaguzi; lakini vyama vyetu vya upinzani vinasubiri uchaguzi ndio vitangaze sera zao na mikakati yao!!!! :confused:

Ku maintain website ni fedha kwa hiyo labda hawana utaalam
 
Mheshimiwa Shamu,

Hivi kweli umaamini chama ku-maintain website ndio kuonyesha uwezo wa kuendesha nchi? Na ktk mazingira ya Tanzania, ambako ni asilimia ndogo sana ya wananchi wanao-access websites, huwezi kukubaliana na wale tunaowashauri Chadema wa-concentrate on na kuendeleza "OPERATION SANGARA"?

Naomba WanaJF wawafikishie hiki Chama kinachotuletea matumaini ya kuwa na demokrasia na maendeleo ya kweli, ujumbe kwamba wengi wa mashabiki wao wana hamu sana ya kuona wanaendelea na Operation Sangara ktk kila wilaya.
 
Last edited:
Back
Top Bottom