mi mwenyewe sijalipenda ingawa chadema ni chama changu!, binafsi nlitaka Ponda asipewe dhamana (hata kama ni kinyume na sheria) kwa sababu uchochezi wake utatuingiza katika janga la vita ya wenyewe kwa wenyewe. ila nakubaliana viongozi wetu, na nadhani wameliona kwa mapana zaidi!
ponda ni gaidi, anastahili dhamana? Nakubaliana na wewe. Panapomfaa ni Guantanamo bay kuleeeee cuba